Kenya 2022 Bora uchaguzi wa CCM kuliko wa kikabila wa Kenya

Kenya 2022 Bora uchaguzi wa CCM kuliko wa kikabila wa Kenya

Kenya 2022 General Election
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Kumbe huwa ni Uchaguzi wa CCM. Pambafu kabisa
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Hadi nimeogopa.
 
Ndiyo unajua leo?😄

Kenya ukabila kwanza mengine baadae

Ndiyo shida ya kuwa na makabila makubwa machache ndani ya nchi moja

Tanzania tuna makabila 100+ ndiyo unaona kwenye uchaguzi kabila moja haliwezi kuaffect uchaguzi sababu wingi wao sio mkubwa sana.
Tanzania kuna kuwaga na uchaguzi? Hizi stories zenu tumezichoka, kuna nchi ya Africa isiyokuwa na ukabira?
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Ni bora ungeuliza mwanzo kabla kuharisha huu utumbo wako hapa. Mimi ni mkenya na ningependa kukujuza sababu ya stesheni tofauti kuonyesha matokeo yasiyo wiana. Tume ya uchaguzi imeweka wazi tovuti yake kwa kila mwenye anataka kufuatilia matokeo ya vituo vya kupiga kura kote nchini. Matokeo yanayochapishwa kwa tovuti ya IEBC ni yale tuu yameidhinishwa na mawakala wa vyama vyote kutoka vituo vya kupigia kura. Kwa faida ya mwananchi wa kawaida, mashirika ya televisheni yamechukua jukumu la kupeperusha matokeo moja kwa moja vile yalivyochapishwa . Utofauti ni pale kila shirika linachukua matokeo ya sehemu tofauti tofauti. Mfano: Citizen TV wanaweza Anza kupeperusha wakianzia matokeo ya pwani ama sehemu yeyote ile, halafu wengine kama NTV, KTN n.k pia wakaanzia kujumulisha toka sehemu tofauti. Bila shaka matokeo yatakuwa tofauti ikizingatiwa kuwa kila sehemu inasimamia ngome ya mmoja wa wagombeaji.
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Ukabila hata hapa kwetu upo.
Sema sisi ni wajinga zaidi ya Kenya.
Kenya wako serious na masuala mhimu ya taifa lao.
They have a better democracy than ours.
 
Ni kweli siasa za Kenya zinatawaliwa sana na ukabila lakini hiyo haituzuii kukubali ukweli kwamba katika ukanda huu wao ndio wanafanya uchaguzi wenye hadhi ya kuitwa uchaguzi.

Angalia hata namna wanavyotoa matokeo, vyombo vya habari vinaruhusiwa kujumlisha matokeo kutokana na form number 34 B wanayopewa na tume ya uchaguzi.

Vyama vya siasa navyo vinaruhusiwa kufanya mahesabu yao bila bugudha na mtandao wa intaneti haufungwi kama Tanzania na Uganda wanavyofanya.

Uchaguzi unakuwa mgumu na usiotabirika kwa sababu hakuna chama kinachobebwa na serikali na polisi hawajihusishi na siasa. Wafungwa wanaruhusiwa kupiga kura sawa na wakenya walioko nje ya nchi. Kwa kweli Tanzania bila uongo Kenya wanatupa darasa kubwa sana na wako mbele yetu miaka 70+ Bravo Kenya for being a model for your authoritarian ruled neighbours.
Kenya is the most civilized country in East Africa the others are shit hole countries.
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Wakati Magufuli anapiga kampeni kwa kisukuma Mwanza, Geita, Shinyanga na Simiyu ulikuwa umelazwa?
 
Masikini Afrika hawana uwezo wa kumuweka mtawala wamtakae. Bali mtawala uwekwa na mifumo ya wenye nchi.
 
  • Uwe unasoma mara zaidi ya Tati; tafakari kisha uwasilishe kwa wenye akili.
  • Kutumia username kusikufanye ujiondoe ufahamu
 
Uhuru anamsupport Raila kunusuru mali za familia yao walizo pora miaka ya nyuma kwa kupunguza chuki baina ya wajaluo na wakikuyu, ila wa kikuyu na wakelejini wengi hawamsupport Raila Central Kenya Raila kapata 20% tu imagine
Acha miuongo.Umeandika utadhani Uhuru ndiye amekuwa Rais wa kwanza Kenya kuondoka madarakani.Miaka yote ambayo Uhuru hakuwa Rais ni nani aliwatunzia mali zao?
 
Acha miuongo.Umeandika utadhani Uhuru ndiye amekuwa Rais wa kwanza Kenya kuondoka madarakani.Miaka yote ambayo Uhuru hakuwa Rais ni nani aliwatunzia mali zao?
Jitahidi kujua historia za siasa za Kenya ujue jinsi gani kuna ushindani kati ya wajaluo na wa kikuyu pamaja na Wakalejini, ujue nani kaporwa ardhi na kwanini paaka sasa kuna ushundani mkali wa kisiasa wa sio wakawaida licha ya kua umasikini wa watu wakawaida wa kwnya hauna utafouti na wa Tz au Uganda
 
Jitahidi kujua historia za siasa za Kenya ujue jinsi gani kuna ushindani kati ya wajaluo na wa kikuyu pamaja na Wakalejini, ujue nani kaporwa ardhi na kwanini paaka sasa kuna ushundani mkali wa kisiasa wa sio wakawaida licha ya kua umasikini wa watu wakawaida wa kwnya hauna utafouti na wa Tz au Uganda
Ungejibu swali ingekusaidia kutokuendelea kutunga uongo.
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Mbona Wasukuma walipomchagua Magufuli 2015 hamkusema ni uakabiala.

Waacheni Kenya na politics zao. Wao wanaendelea kupiga hatua kutoka huko sisi tunaelekea huko. Siasa hizo hizo mnazowasema Kenya ndizo CCM wanazifanya kila siku ....Kukiita Cuf ni chama cha Waislamu na Chadema cha Wachaga kuna tofauti gani na siasa za Kenya.
 
Ungejibu swali ingekusaidia kutokuendelea kutunga uongo.
Naona mkuu hujanielewa tabaka la maraisi wa Kenya wote ni kambi moja ya kikuyu na makelejini tu, wakati wajaluo ni kabila kubwa na limechagia kwa kiasi kikubwa kwenye siasa za Ky ku- balance equilibrium lazma Raisi wa kijaluo apatikane kupunguza chuki na visasi. Jomo kenyatta alikua m kikuyu Arap moi alikua mkalejini Kibaki alikua mkikuyu Uhuru kenyatta mkikuyu tena Ruto ambaye ni mkalejini itakua sio poa, ndiyo maana Uhuru kinyatta katumia Busara kusupporta Raila mjaluo.........
 
Kwa nyinyi kujigeuza Askari eti wa kulinda kura wakati hata mgambo hamjapitia
Kura za Tanzania zinatakiwa kulindwa kwa sababu ya wizi uliokubuhu unaofanywa na ccm.

Kenya hawana haja ya chama chochote kuhangaikia ulinzi kwa sababu wamestaarabika na hawana huo upumbavu wa kuiba kura vituoni.
 
Back
Top Bottom