Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Ndoa nyingi siku hizi zimekuwa zikivunjika mapema sana yaani watu wanaowana baada ya miaka miwili tu ndoa inavunjika na muda mwingine unakuta harusi pamoja na maandalizi mengine yalikuwa ni ya gharama kubwa saana.
Tatizo kubwa nililokuja kuliona asilimia kubwa ya waolewaji wengi wanaolewa na wanaume wasiopenda yaani unakuta mtu anaulazimisha moyo kuishi na mtu na hii ni kwa sababu ya dhiki na maisha magumu kwahiyo anaona bora ajikabidhi kwa mwanaume.
Au wakati mwingine unakuta mwanamke anamsubili anaempenda lakini hatokei...na hapa ndio utakuta anakubali kuishi na mtu asiempenda ili tu na yeye aonekane yuko ndani ya ndoa au ana mume, mahusiano ya aina hii kudumu ni ngumu sana wakuu.
Tatizo kubwa nililokuja kuliona asilimia kubwa ya waolewaji wengi wanaolewa na wanaume wasiopenda yaani unakuta mtu anaulazimisha moyo kuishi na mtu na hii ni kwa sababu ya dhiki na maisha magumu kwahiyo anaona bora ajikabidhi kwa mwanaume.
Au wakati mwingine unakuta mwanamke anamsubili anaempenda lakini hatokei...na hapa ndio utakuta anakubali kuishi na mtu asiempenda ili tu na yeye aonekane yuko ndani ya ndoa au ana mume, mahusiano ya aina hii kudumu ni ngumu sana wakuu.