Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu bibi zetu walikubali kuwa makondoo kitu ambayo wanawake wa sasa hawako tayariNaona jamii zimevurugika tu.
Hao bibi na babu zetu waliooana mapema na wakadumu kwenye ndoa zao walifanyaje?
Mbna umefurahi nifanyie mpngo aisee nisaidie kumuambia Beesmom nampendaaa😂😂😂😂
😁😁😁Haijalishi hata nikiwA mchinjaji kwangu ni furaha tele ninampenda saNa aisee@beesmomMuanzisha uzi ndie anaekamua maziwa kijana unataka kuwa mshika pembe?
Hao wanawake wa “sasa” wako katika utumwa mbaya kabisa kuliko hata hao bibi zetu. Bibi zetu walikuwa katika asili hivyo walikuwa katika kheri kabisa.Sababu bibi zetu walikubali kuwa makondoo kitu ambayo wanawake wa sasa hawako tayari
Mkuu una uhakika kuwa bibi zetu walifurahia hayo maisha ya "asili"Hao wanawake wa “sasa” wako katika utumwa mbaya kabisa kuliko hata hao bibi zetu. Bibi zetu walikuwa katika asili hivyo walikuwa katika kheri kabisa.
Naelewa ninachokisema sababu hata mimi nimekulia katika “usasa” (ukizingatia pia mimi ni katika Generation Z niliyekulia katika karne ya 21) na nimeshuhudia madhara na tabu ya kuachana na asili.