Pre GE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

Pre GE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
No 2 ndiyo anaitumia Lisu
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!

Sasa kama Wabongo wenyewe wataamua kutojali hatima yao kwa nini Iwe ni Concern kwa Lissu?.

Kazi ya Lissu ni kuwaonyesha njia, wakiifuata ni kwa faida zao wenyewe, wakiamua kutokujali hatma yao ni kwa hasara yao wenyewe.

Umeandika as if Lengo la Lissu ni kwa faida yake binafsi. Lissu hana ambition kiviiile ya kuwa rais.
 
Munaodhania Lissu anakurupuka kwenye mambo yake Poleni sana,Jamaa amejipanga haswa,Kwani unadhani hajui kuwa waTanzania hatuna ujasiri wakuingia barabarani?Subiri utajua mikakati yake huko mbeleni.
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Wazazi wako wana hasara sana
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
huko kwa mataifa ya ulaya yanayotoa misaada kwa tanzania hata akienda kuwaambia ujinga gani hawata muelewa kwani kila siku wanaisifia tanzania kwa good governance sasa nanai atamuelewa akienda kusema uongo wake?
 
huko kwa mataifa ya ulaya yanayotoa misaada kwa tanzania hata akienda kuwaambia ujinga gani hawata muelewa kwani kila siku wanaisifia tanzania kwa good governance sasa nanai atamuelewa akienda kusema uongo wake?

Ni taifa gani la Ulaya limeisifia Tanzania kuwa ina good governance miezi ya hivi karibuni?
 
Fanya survey hapo mtaani kwako hata wayu kumi tu utabaini ni wangapi watapiga kura.

Utaweza kuwazuia watu wasiandamane lakini hutaweza kuwalazimisha kupiga kura.

Watanzania hawana imani tena na hii tume. Unapigwa na jua huku mwingine anajitapa kushinda uchaguzi haitegemei kura yako bali nani atahesabu.

I think people are no longer stupid.
wasipoenda kupiga kura wala haina shida hesabu itatimia tu wala haina shida kaeni nyumbani kur zitapigwa tu
 
Kwa kilichofanyika 2019,2020 na 2024 hivi unaona ni busara kushiriki uchaguzi wowote tena? Kama ni ishu ya maridhiano unajua katikati ya maridhiano hayo ndiyo walitekwa na kupotezwa wakina Soka,Dionis Kipanya mauaji ya kutisha ya Mzee Kibao? Ni baada ya maridhiano ndiyo uchafuzi wa chaguzi za serikali za mitaa hivyo mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi kuiamini tena CCM.
Kwa hali kama hii ni utaahira kabisa kushiriki uchaguzi
 
Kwamba Chama ni mtu na sio Itikadi na mkusanyiko wa mawazo ya watu wenye mawazo sawa na jinsi ya kufanya mambo yao ?

Is that what we are looking for ?

 
Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM
Maridhiano waridhiane nini au ni daganya toto nyingine kwa mtaji wa Kodi zetu ili kuendeleza maigizo (buying time) ili baadae wawageuke ili tena mrudi mezani
2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa
Hao hao aende apige kelele ambao wana kina Trump ambao wanatumia loopholes kila siku kufanya wanachotaka kufanya
Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Mtanzania alalae barabarani hata akilala je ana uhakika na alternative kwamba itakuwa tofauti ? Au ni kuendelea kutumika kama ngazi ya watu kupata kura kwenda Kula ? In short politicians the world over hawaaminiki ndio maana watu wengi nchi nyingi wapo indifferent na politics (sio kwamba kinachofanyika / status quo wanakubaliana nayo..., bali wanaona hata alternative ni walewale)
 
We kila uzi unatukana tu.

Toka hapa na bad energy yako.

Una U-saddist mzito sana ndani yako.

Ka lijinga!
Mkuu niambie wapi nimetukana au nani nimetukana? Au kusema wazazi wako wana hasara ni tusi? Basi wazazi wako wako wana faida, acha niwe mnafiki
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!

Unakurupuka mpango huu umeanza kusemwa na Mbowe kabla hata ya uchaguzi.
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Uchaguzi au uchafuzi, tz kwa sasa hakuna uchaguzi ,lissu na chadema ya sasa ipo sahii, hivi kweli hata uchaguzi mkuu 2020 ulikua hujazaliwa, uchaguzi wa juzi S/za mtaa nao ulikua bado usingizini ,mpaka uje na andiko hili.

Tumekua na chaguzi za kihuni, na za kusitikisha, ni mwendawazim tu atapingana na msimamo wa sasa wa chadema
 
Back
Top Bottom