Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
-
- #21
πππ kwa sasa mimi ni mwanachama wa kawaida kabisa. Uchaguzi ujao nitachukua form ya kugombea nafasi ya mwenyekitiBrother Natafuta Ajira una nafasi gani kwenye kile chama cha KATAA NDOA?
Wee tatizo hutoi alternative ya mbususu ndio shida...na nyeto is a poor substitute for reality, just so u knowSawa sawa kabisa.. mimi nipo hapa kufungua code uitoe akili nje ya matrix na kuona ukweli halisi., kuelewa au kukaza shingo ni maamuzi yako
πππππ nakuja kukujoin kwenye mnywezo labda nitakuwa na maakili hayaAcha masihala, niwe sober kwani haujui kama leo wikiend
Una kura yangu ya ndioπππ kwa sasa mimi ni mwanachama wa kawaida kabisa. Uchaguzi ujao nitachukua form ya kugombea nafasi ya mwenyekiti
Become so successful that her friends and family constantly remind her about how bad she f*** up π° πΆββοΈMwanaume ambae una mamlaka na hela yako utakua na mamlaka na maisha yako pia. Wanawake watakuita mbahili kwa sababu umekataa kuwamwagia hela lakini nakuambia ukweli, wanawake hao hao wanawaheshimu wanaume ambao wamejipata kupitia nidhamu ya hela.
Mwanaume ambae unatapanya pesa ukifikiria iyo ndio njia ya kupendwa utaishia kutumika na kuwa masikini. Ilinde hela yako, hela yako ndio ndugu, jamaa, mpenzi na rafiki wa kweli hapa duniani
Wanawake watakuweka majaribuni, watakuita mbahili, watakuona mtu cheap, watakuambia "tafuta hela". Usikubali kuingia kwenye mtego wao, they are trying to bully you because you are smart enough not to fall for their tricks.
Sikilizeni vijana, ngono haina maajabu kama ambavyo mnaitukuza. Sex is not worth striving for, quiting your plans for, go broke for or making your life miserable for. Stop competing against other men over this sex thing, start competing with yourself not to remain in the same level every year.
Thamani yako haiwezi kupatikana kwa kutapanya hela kwa mwanamke mjinga anaefikiri ana haki ya kupewa hela za bure kwa sababu tu yeye ni mwanamke, thamani yako itapatikana kwa kuwa na nidhamu ya hela na kuzifanya hela zako zikutumikie wewe mwenyewe.
Acha kuwapa hela wanawake wakati wewe mwenyewe bado hauna uhuru wa kifedha. Familia yako pia inahitaji hela, ni bora izo hela zikazunguke kwenye familia yako. Mwanamke ana nguvu na akili timamu, ana miguu miwili, mikono miwili na masaa 24 ya siku kama wewe. Hakuna ambacho kinamzuia kufanya kazi apate hela yake mwenyewe.
Wanawake sio wenzako. Mwanamke anaweza asiwe msomi, asiwe na ujuzi, awe masikini, asiwe na chochote cha kumpa mafanikio na bado akatoka kimaisha kupitia njia mbili tu. Moja ni kukutana na mwanaume ambae ameshajipata, mbili ni kutumia mwili wake kupata anachokitaka.
Lakini wewe mwanaume hauwezi kwenda na kanuni iyo. Mafanikio yako mwanaume ni mchakato wa nidhamu, muda, vikwazo na juhudi.
Uyo mwanamke ambae unaamini anahitaji msaada wako, anahitaji kuhudumiwa na wewe tambua kwamba ana uwezekano mkubwa zaidi wa kufanikiwa kimaisha kuliko wewe unaempa hela na
Mwanamke uyo atakapokutana na mwanaume atakaemwekea mezani dau kubwa kuliko analolipata kutoka kwako atakuacha bila kujiuliza hata mara moja. Ukipoteza muda wako kuwekeza kwake hela ambazo ulitakiwa kuwekeza kwa ajiri yako mwenyewe utaishia kuangamiza mustakabali wako.
Nipo hapa kufungua code ili uitoe akili nje ya matrix na kuuona ukweli. Ukiamua kuelewa au kukaza shingo huo ni uamuzi wako.
100% perfectSikilizeni vijana, ngono haina maajabu kama ambavyo mnaitukuza. Sex is not worth striving for, quiting your plans for, go broke for or making your life miserable for. Stop competing against other men over this sex thing, start competing with yourself not to remain in the same level every year
Hii kitu imenisaidia sana. Nimewala mademu wa uhakika huku wakiniita Bahili lakini cha ajabu hawakuwahi kuniacha. Heshima ilibaki pale kwani nilikuwa siteteleki na maneno yao.Thamani yako haiwezi kupatikana kwa kutapanya hela kwa mwanamke mjinga anaefikiri ana haki ya kupewa hela za bure kwa sababu tu yeye ni mwanamke, thamani yako itapatikana kwa kuwa na nidhamu ya hela na kuzifanya hela zako zikutumikie wewe mwenyewe.
Wanawake wengi.sana wametoboa huku wanaojiita Gentlemen wameishia stress na kulewa pombe tuUyo mwanamke ambae unaamini anahitaji msaada wako, anahitaji kuhudumiwa na wewe tambua kwamba ana uwezekano mkubwa zaidi wa kufanikiwa kimaisha kuliko wewe unaempa hela na
πππ nitakuwepoUhudhurie kikao chetu cha mwaka mnamo disemba tutakutunuku nishani ya mshauri bora wa maendeleo kwa wanaume.
unasikika loud & clearMic check one two
Nasikika hukoo?
Nyuma kabisa, backbencher Mwandamizi π€£
Wanawake hawawezi kukupa hela ya kutumia, lakini hela inaweza kukupa wanawake wa kuwatumia.Hii kitu imenisaidia sana. Nimewala mademu wa uhakika huku wakiniita Bahili lakini cha ajabu hawakuwahi kuniacha. Heshima ilibaki pale kwani nilikuwa siteteleki na maneno yao.
Hadi leo nawatafuna vizuri tu. Kuna vimaneno watakutamkia vya kukushusha thamani lakini yote hiyo wanakuwinda na pesa zako. Ukisimama imara wanakuona wewe ndio Mwanaume wa ukweli.
Nimeipenda hii doktori,kwani shilingi ngapi?Life is about balance
Don't go broke to impress women but sometimes you need to Care of ur soulmate
Pata hela kwanza ndio uone kama hizo code zinafaa au laaMkuu Natafuta Ajira binafsi nimekuelewa sana, hizi code unazofungua hapa ni superb, kijana kama mimi ambaye sina ajira wala ramani nakuelewa vibaya sana. Nita-print hizi code nitembee nazo kichwani hata nikipata ajira niishi nazo. Thanks