Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mwanaume ambae una mamlaka na hela yako utakua na mamlaka na maisha yako pia. Wanawake watakuita mbahili kwa sababu umekataa kuwamwagia hela lakini nakuambia ukweli, wanawake hao hao wanawaheshimu wanaume ambao wamejipata kupitia nidhamu ya hela.
Mwanaume ambae unatapanya pesa ukifikiria iyo ndio njia ya kupendwa utaishia kutumika na kuwa masikini. Ilinde hela yako, hela yako ndio ndugu, jamaa, mpenzi na rafiki wa kweli hapa duniani
Wanawake watakuweka majaribuni, watakuita mbahili, watakuona mtu cheap, watakuambia "tafuta hela". Usikubali kuingia kwenye mtego wao, they are trying to bully you because you are smart enough not to fall for their tricks.
Sikilizeni vijana, ngono haina maajabu kama ambavyo mnaitukuza. Sex is not worth striving for, quiting your plans for, go broke for or making your life miserable for. Stop competing against other men over this sex thing, start competing with yourself not to remain in the same level every year.
Thamani yako haiwezi kupatikana kwa kutapanya hela kwa mwanamke mjinga anaefikiri ana haki ya kupewa hela za bure kwa sababu tu yeye ni mwanamke, thamani yako itapatikana kwa kuwa na nidhamu ya hela na kuzifanya hela zako zikutumikie wewe mwenyewe.
Acha kuwapa hela wanawake wakati wewe mwenyewe bado hauna uhuru wa kifedha. Familia yako pia inahitaji hela, ni bora izo hela zikazunguke kwenye familia yako. Mwanamke ana nguvu na akili timamu, ana miguu miwili, mikono miwili na masaa 24 ya siku kama wewe. Hakuna ambacho kinamzuia kufanya kazi apate hela yake mwenyewe.
Wanawake sio wenzako. Mwanamke anaweza asiwe msomi, asiwe na ujuzi, awe masikini, asiwe na chochote cha kumpa mafanikio na bado akatoka kimaisha kupitia njia mbili tu. Moja ni kukutana na mwanaume ambae ameshajipata, mbili ni kutumia mwili wake kupata anachokitaka.
Lakini wewe mwanaume hauwezi kwenda na kanuni iyo. Mafanikio yako mwanaume ni mchakato wa nidhamu, muda, vikwazo na juhudi.
Uyo mwanamke ambae unaamini anahitaji msaada wako, anahitaji kuhudumiwa na wewe tambua kwamba ana uwezekano mkubwa zaidi wa kufanikiwa kimaisha kuliko wewe unaempa hela na
Mwanamke uyo atakapokutana na mwanaume atakaemwekea mezani dau kubwa kuliko analolipata kutoka kwako atakuacha bila kujiuliza hata mara moja. Ukipoteza muda wako kuwekeza kwake hela ambazo ulitakiwa kuwekeza kwa ajiri yako mwenyewe utaishia kuangamiza mustakabali wako.
Nipo hapa kufungua code ili uitoe akili nje ya matrix na kuuona ukweli. Ukiamua kuelewa au kukaza shingo huo ni uamuzi wako.
Mwanaume ambae unatapanya pesa ukifikiria iyo ndio njia ya kupendwa utaishia kutumika na kuwa masikini. Ilinde hela yako, hela yako ndio ndugu, jamaa, mpenzi na rafiki wa kweli hapa duniani
Wanawake watakuweka majaribuni, watakuita mbahili, watakuona mtu cheap, watakuambia "tafuta hela". Usikubali kuingia kwenye mtego wao, they are trying to bully you because you are smart enough not to fall for their tricks.
Sikilizeni vijana, ngono haina maajabu kama ambavyo mnaitukuza. Sex is not worth striving for, quiting your plans for, go broke for or making your life miserable for. Stop competing against other men over this sex thing, start competing with yourself not to remain in the same level every year.
Thamani yako haiwezi kupatikana kwa kutapanya hela kwa mwanamke mjinga anaefikiri ana haki ya kupewa hela za bure kwa sababu tu yeye ni mwanamke, thamani yako itapatikana kwa kuwa na nidhamu ya hela na kuzifanya hela zako zikutumikie wewe mwenyewe.
Acha kuwapa hela wanawake wakati wewe mwenyewe bado hauna uhuru wa kifedha. Familia yako pia inahitaji hela, ni bora izo hela zikazunguke kwenye familia yako. Mwanamke ana nguvu na akili timamu, ana miguu miwili, mikono miwili na masaa 24 ya siku kama wewe. Hakuna ambacho kinamzuia kufanya kazi apate hela yake mwenyewe.
Wanawake sio wenzako. Mwanamke anaweza asiwe msomi, asiwe na ujuzi, awe masikini, asiwe na chochote cha kumpa mafanikio na bado akatoka kimaisha kupitia njia mbili tu. Moja ni kukutana na mwanaume ambae ameshajipata, mbili ni kutumia mwili wake kupata anachokitaka.
Lakini wewe mwanaume hauwezi kwenda na kanuni iyo. Mafanikio yako mwanaume ni mchakato wa nidhamu, muda, vikwazo na juhudi.
Uyo mwanamke ambae unaamini anahitaji msaada wako, anahitaji kuhudumiwa na wewe tambua kwamba ana uwezekano mkubwa zaidi wa kufanikiwa kimaisha kuliko wewe unaempa hela na
Mwanamke uyo atakapokutana na mwanaume atakaemwekea mezani dau kubwa kuliko analolipata kutoka kwako atakuacha bila kujiuliza hata mara moja. Ukipoteza muda wako kuwekeza kwake hela ambazo ulitakiwa kuwekeza kwa ajiri yako mwenyewe utaishia kuangamiza mustakabali wako.
Nipo hapa kufungua code ili uitoe akili nje ya matrix na kuuona ukweli. Ukiamua kuelewa au kukaza shingo huo ni uamuzi wako.