Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Security haitolewi kwa sababu wewe ni mwanaume na yeye ni mwanamke lazima kuwe na conditions. Jinsia ya kike sio ulemavu.
Sasa mkuu mamlaka ya kumwambia acha kufanya hiki, fanya hiki utayatoa wapi kama mtoto wa watu humuhudumii?
 
Naam leo angalau umewashauri vizuri mwanaume kufanikiwa is directly proportional to kuacha umalaya, waambie kabisa kwamba lazima wachague kimoja na wasacrifice kimoja hawawezi kupata vyote yani uwe malaya halafu uendelee kufanikiwa hiyo ni kanuni ya wapi, siku wanaume wakiacha kuichukulia ngono kama basic need na kuacha kuisingizia nature basi watakuwa wamepiga hatua kubwa sana katika kuyaelekea mafanikio yao na hata wanawake nao watabadilika
Wengine pombe ndo zinawafilisi, tabia ya mtu mmoja kununulia na wenzie ili uonekane una hela, ni ujinga. Hata ukifanya mapenzi, kama una mwanamke mmoja tu shida iko wapi?
 
Upo sahihi kabisa boss
Hata mwanamke ukimhudumua anahisi unampenda,na halisi iko mwanaume ataprovide kwa mwanamke

Ata jogoo tu smtm utamuoana anaona chakula anamuita tetea wake,hata ndege wa kiume wanapendwa kwa kutengeneza kiota kizur,hata simba atamiliki majike mengi kwa utawala wake

Kwa kifupi lazima kuwe na namna fulani ya security kwa jinsia ya kike,yaweza kuwa ulinzi,hela,mamlaka na kadhali

Sawa boss chukua medali wewe
Ili mwanamke akuone unampenda ni pamoja na kumudumia kuipitia kumuhudumia kwangu kumemfanya azidishe mapenzi juu yangu, utiifu na hata nikimwambia ninakuhitaji muda wowote lazima aje anaweza kuchelewa kutokana na kazi but siku hiyo lazima aje hajawahi kunikatalia sex hata siku moja, hata nikimwambia sina ananielewa na kuna wakati mwingine ananisaidia.Mwanamke anaweza kuwa ni mbaya kwako lakini kwa mwanaume mwingine akawa superb na hii inasababishwa na namna gani mwanaume ulivyo kwake ukiwa mwaminifu,mwenye misimamo, mwenye sauti, mwenye upendo, akili Zaidi yake na kwenye bed ukawa vizuri nakwambia bro huyo mwanamke utamtawala unavyotaka wewe kama mimi huyu wa kwangu.
Natafuta Ajira
 
Hivi unajua kinachokupa mamlaka ya kumtawala mwanamke ni nini?

Ni usimamizi juu yake,kumhudumia,kumuongoza na kuhakikisha upo pale kwa ajili yake

Na labda nikufahamishe kitu kimoja ,mwanamke hajaumbwa kuhudumia bali kuhudumiwa,ukilijua hili nadhan itakusaidia kidogo

Utaeleweka endapo utasema mwanamke nae achangie kidogo baadhi ya mambo lkn huwezi kukwepa kumhudumia mwanamke kabisa,ni kujidanganya
Haya yote nayajua vizuri kabisa, lakini kuna sehemu ndogo sana tunashindwa kuelawa mimi na wewe na sehemu yenyewe ipo pale kwenye swali langu ambalo unalikwepa.

Kwanini unafikiri unawajibika kumhudumia mwanamke?
 
Ili mwanamke akuone unampenda ni pamoja na kumudumia kuipitia kumuhudumia kwangu kumemfanya azidishe mapenzi juu yangu, utiifu na hata nikimwambia ninakuhitaji muda wowote lazima aje anaweza kuchelewa kutokana na kazi but siku hiyo lazima aje hajawahi kunikatalia sex hata siku moja, hata nikimwambia sina ananielewa na kuna wakati mwingine ananisaidia.Mwanamke anaweza kuwa ni mbaya kwako lakini kwa mwanaume mwingine akawa superb na hii inasababishwa na namna gani mwanaume ulivyo kwake ukiwa mwaminifu,mwenye misimamo, mwenye sauti, mwenye upendo, akili Zaidi yake na kwenye bed ukawa vizuri nakwambia bro huyo mwanamke utamtawala unavyotaka wewe kama mimi huyu wa kwangu.
Natafuta Ajira
Wapo wanawake wanaostahili haya unayasema. It's a matter of conditions not just because she is a woman.
 
Haya yote nayajua vizuri kabisa, lakini kuna sehemu ndogo sana tunashindwa kuelawa mimi na wewe na sehemu yenyewe ipo pale kwenye swali langu ambalo unalikwepa.

Kwanini unafikiri unawajibika kumhudumia mwanamke?
Nani huwa anatongoza?
 
Ili mwanamke akuone unampenda ni pamoja na kumudumia kuipitia kumuhudumia kwangu kumemfanya azidishe mapenzi juu yangu, utiifu na hata nikimwambia ninakuhitaji muda wowote lazima aje anaweza kuchelewa kutokana na kazi but siku hiyo lazima aje hajawahi kunikatalia sex hata siku moja, hata nikimwambia sina ananielewa na kuna wakati mwingine ananisaidia.Mwanamke anaweza kuwa ni mbaya kwako lakini kwa mwanaume mwingine akawa superb na hii inasababishwa na namna gani mwanaume ulivyo kwake ukiwa mwaminifu,mwenye misimamo, mwenye sauti, mwenye upendo, akili Zaidi yake na kwenye bed ukawa vizuri nakwambia bro huyo mwanamke utamtawala unavyotaka wewe kama mimi huyu wa kwangu.
Natafuta Ajira
Na ili ujue kwamba mwanamke heshima yake ipo katika kumuhudumia,,we acha kumuhudumia uone habar yake

Ishu nyingine kwanini siku hizi wanawake heshima na utii umepungua,ni kwasababu wako independent ndio maana wanajeuri

Kwahiyo heshima yako.kwake ni kumuhudumia ipasavyo ikiwemo na faragha
 
Mwanaume ambae una mamlaka na hela yako utakua na mamlaka na maisha yako pia. Wanawake watakuita mbahili kwa sababu umekataa kuwamwagia hela lakini nakuambia ukweli, wanawake hao hao wanawaheshimu wanaume ambao wamejipata kupitia nidhamu ya hela.

Mwanaume ambae unatapanya pesa ukifikiria iyo ndio njia ya kupendwa utaishia kutumika na kuwa masikini. Ilinde hela yako, hela yako ndio ndugu, jamaa, mpenzi na rafiki wa kweli hapa duniani

Wanawake watakuweka majaribuni, watakuita mbahili, watakuona mtu cheap, watakuambia "tafuta hela". Usikubali kuingia kwenye mtego wao, they are trying to bully you because you are smart enough not to fall for their tricks.

Sikilizeni vijana, ngono haina maajabu kama ambavyo mnaitukuza. Sex is not worth striving for, quiting your plans for, go broke for or making your life miserable for. Stop competing against other men over this sex thing, start competing with yourself not to remain in the same level every year.

Thamani yako haiwezi kupatikana kwa kutapanya hela kwa mwanamke mjinga anaefikiri ana haki ya kupewa hela za bure kwa sababu tu yeye ni mwanamke, thamani yako itapatikana kwa kuwa na nidhamu ya hela na kuzifanya hela zako zikutumikie wewe mwenyewe.

Acha kuwapa hela wanawake wakati wewe mwenyewe bado hauna uhuru wa kifedha. Familia yako pia inahitaji hela, ni bora izo hela zikazunguke kwenye familia yako. Mwanamke ana nguvu na akili timamu, ana miguu miwili, mikono miwili na masaa 24 ya siku kama wewe. Hakuna ambacho kinamzuia kufanya kazi apate hela yake mwenyewe.

Wanawake sio wenzako. Mwanamke anaweza asiwe msomi, asiwe na ujuzi, awe masikini, asiwe na chochote cha kumpa mafanikio na bado akatoka kimaisha kupitia njia mbili tu. Moja ni kukutana na mwanaume ambae ameshajipata, mbili ni kutumia mwili wake kupata anachokitaka.

Lakini wewe mwanaume hauwezi kwenda na kanuni iyo. Mafanikio yako mwanaume ni mchakato wa nidhamu, muda, vikwazo na juhudi.

Uyo mwanamke ambae unaamini anahitaji msaada wako, anahitaji kuhudumiwa na wewe tambua kwamba ana uwezekano mkubwa zaidi wa kufanikiwa kimaisha kuliko wewe unaempa hela na

Mwanamke uyo atakapokutana na mwanaume atakaemwekea mezani dau kubwa kuliko analolipata kutoka kwako atakuacha bila kujiuliza hata mara moja. Ukipoteza muda wako kuwekeza kwake hela ambazo ulitakiwa kuwekeza kwa ajiri yako mwenyewe utaishia kuangamiza mustakabali wako.

Nipo hapa kufungua code ili uitoe akili nje ya matrix na kuuona ukweli. Ukiamua kuelewa au kukaza shingo huo ni uamuzi wako.
"Ngono Haina maajabu Kama mnavyoitukuza" Duh hapa vijana wataelewa kweli?
 
Back
Top Bottom