Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Ukiwa bahili utapanda mnazi kwa mkono mmoja mpaka mkono uote sugu
Wanawake wanafikiri sisi tunapata Raha tukisex nao😀😀 hakuna maajabu zaidi ya utelezi uleule wa mlenda wa uvuguuvugu.

Utamu tunao wenyewe.
 
Hivi unajua kinachokupa mamlaka ya kumtawala mwanamke ni nini?

Ni usimamizi juu yake,kumhudumia,kumuongoza na kuhakikisha upo pale kwa ajili yake

Na labda nikufahamishe kitu kimoja ,mwanamke hajaumbwa kuhudumia bali kuhudumiwa,ukilijua hili nadhan itakusaidia kidogo

Utaeleweka endapo utasema mwanamke nae achangie kidogo baadhi ya mambo lkn huwezi kukwepa kumhudumia mwanamke kabisa,ni kujidanganya
Umesoma Simulizi ya Jinsi nilivyokutana na Mrembo wa ajabu kupitia biashara ya Uber Kuna point pale zinakukataa vizuri mno

Mleta mada anachozungumzia hapa ni kuwa yaani mtu TU anamaisha yake uanze tu kuhudumia kwani kabla ya hapo alikuwa anaishije ?ww usichanganye kati ya mke na mtu tu wa mtaani hapa
 
Na ili ujue kwamba mwanamke heshima yake ipo katika kumuhudumia,,we acha kumuhudumia uone habar yake

Ishu nyingine kwanini siku hizi wanawake heshima na utii umepungua,ni kwasababu wako independent ndio maana wanajeuri

Kwahiyo heshima yako.kwake ni kumuhudumia ipasavyo ikiwemo na faragha
Mimi huyu wa kwangu kanipita kipato na ana niheshimu vibaya mno nikimwambia kitu fulani sikipendi na anaacha kweli ukijua kuishi na mwanamke vizuri kwa akili hawezi kukusumbua hata kama kakuzidi elimu au kipato kwa kiasi gani ni kwavile tu mwanaume wengi wanasumbuliwa na inferiority complex
 
Umesoma Simulizi ya Jinsi nilivyokutana na Mrembo wa ajabu kupitia biashara ya Uber Kuna point pale zinakukataa vizuri mno

Mleta mada anachozungumzia hapa ni kuwa yaani mtu TU anamaisha yake uanze tu kuhudumia kwani kabla ya hapo alikuwa anaishije ?ww usichanganye kati ya make na mtu tu wa mtaani hapa
Mwishoni sijakupata vizur lkn iko hivi,hata mwanamke awe na kipato kikubwa kuliko wewe heshima yako utaipata hata kwa kuchangia mambo madogo madogo

Lkn huwezi kuning'iniza korodani zako kiboya eti kisa mwanamke ana hela,labda uliumbe roboti lako mwenyewe
 
Na ili ujue kwamba mwanamke heshima yake ipo katika kumuhudumia,,we acha kumuhudumia uone habar yake

Ishu nyingine kwanini siku hizi wanawake heshima na utii umepungua,ni kwasababu wako independent ndio maana wanajeuri

Kwahiyo heshima yako.kwake ni kumuhudumia ipasavyo ikiwemo na faragha
Opportunity cost ipo kila maamuzi utakayoyafanya. Hakuna maamuzi ambayo yataweza kuwa solution ya pande zote mbili za shilingi.

Ukiamua kubeba jukumu la kumujudumia mwanamke kuna opportunity costs zake mfano iyo hela unayotumia kuhudumia mwanamke ungweza kuweka akiba, kuwekeza, kusaidia ndugu zako, kujiongezea thamani mwenyewe n.k

Na ukiamua kukataa jukumu la kuhudumia mwanamke kuna opportunity costs zake pia mahusiano yako na wanawake kuwa magumu kama ulivyosema.

Regardless of opportunity costs za kila upande bado maamuzi ya kukataa kuhudumia mwanamke yatakua na faida zaidi kwa mustakabali wa kijana.

Sikatai kuhudumia lakini hudumia mwanamke anaestahili huduma zako sio kuhudumia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Jinsia ya kike sio justification ya kuwa tegemezi.
 
Vijana wahongaji wakishaachwa na malaya zao au wakiolewa na wenye vibunda zaidi yao wanaanza kulalama sijui nilimfanyia hiki, nilimnunulia kile, sijui mara ooh nilimfungulia biashara na malalamiko mengine kibao

Hapo ndipo anapogundua alipoteza pesa, muda na nguvu zake bure

Vijana wahongaji kumbukeni money doesn't buy love but rather it delays your heartbreak

Mr investor go and keep investing in your girlfriend

Learn or perish
 
Mimi huyu wa kwangu kanipita kipato na ana niheshimu vibaya mno nikimwambia kitu fulani sikipendi na anaacha kweli ukijua kuishi na mwanamke vizuri kwa akili hawezi kukusumbua hata kama kakuzidi elimu au kipato kwa kiasi gani ni kwavile tu mwanaume wengi wanasumbuliwa na inferiority complex
True kuwa mwanaume tu ni rasilimali muhimu,ni jinsi gani unajiweka na kuact ndio inakupa thamani zaidi
 
Mwishoni sijakupata vizur lkn iko hivi,hata mwanamke awe na kipato kikubwa kuliko wewe heshima yako utaipata hata kwa kuchangia mambo madogo madogo

Lkn huwezi kuning'iniza korodani zako kiboya eti kisa mwanamke ana hela,labda uliumbe roboti lako mwenyewe
Upo sahih mkuu, mwanamke ili ajue yupo chini ya milki yako lazima umhudumie.
 
Sikatai kuhudumia lakini hudumia mwanamke anaestahili huduma zako sio kuhudumia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Jinsia ya kike sio justification ya kuwa tegemezi.
Hapa ndo umeongea boss, tumemalizana mimi na wewe

Asante
 
THREAD CLOSED

MLETA MADA UMEMALIZA KILA KITU


Story Ya Ziada

Jana bana nlikua viwanja (tips mikocheni) nikawa na mwagilia moyo sasa nikawa na manzi flan a very good friend of mine nimesoma nae years ago high school mwana sana ana kazi na hela zake nzuri tu piga sana soga na ku enjoy

Sasa kuhamaki meza kama mbili pembeni yetu akawa dem flan mwingine na madem wenzake huyu dem wa pembeni niliwahi imbisha about a year ago ikawa inaniletea maringo ya kishamba akidhani mi wa kuja nikamnyea maneno ya shombo nikapiga chini na namba nikafuta

Sasa ghafla naona text kwenye simu ananiita mara ananitumia ma security waniite nimfate kwake huku akijua nipo na manzi (ile nliosomaga nayo) baada ya kero kuzidi za kuniita na kunitumia watu kwamba ananiita ikabdi ni swallow my pride nimfate. Kufika pale shobo na salaam kibao “ ooh been a while i miss u “ im like WTF mara kdgo ananitolea bill yake ya 150k nimsaidie ku clear (mtu siongei nae for years let alone sijamuita pale batani ndio ananiambia ni sort bill yake)

Nachokumbuka nlijikuta nimesharudi kuendelea na soga ile manzi yangu (classmate) nahisi nlimwagia matusi ya kwenda yule wa pembeni sikumbuki maana nlikua maji sana.

Moral Of The Story

Some of these Bitch*s will shake and try you as a man stand firm to your goals and ambitions. Most of these bitch*s ni viumbe visivyo na utu wala shukrani. Manzi kama haeleweki piga chini delete mazoea. Oya madem wa kueleweka wapo wengi sanaa. Mtoto wa kiume kuwa na msimamo jenga maisha yako. AU REVOIR [emoji817]
Semea Huu Ulikua Uzi kabisa ume uharakisha tu
 
Umesoma Simulizi ya Jinsi nilivyokutana na Mrembo wa ajabu kupitia biashara ya Uber Kuna point pale zinakukataa vizuri mno

Mleta mada anachozungumzia hapa ni kuwa yaani mtu TU anamaisha yake uanze tu kuhudumia kwani kabla ya hapo alikuwa anaishije ?ww usichanganye kati ya make na mtu tu wa mtaani hapa
Mwanamke unapomhitaji, direct anajua nafasi yake ni kua chini ya milki yako, hivo kumhudumia ni jukum lako hata kama anakipato chake.
 
Opportunity cost ipo kila maamuzi utakayoyafanya. Hakuna maamuzi ambayo yataweza kuwa solution ya pande zote mbili za shilingi.

Ukiamua kubeba jukumu la kumujudumia mwanamke kuna opportunity costs zake mfano iyo hela unayotumia kuhudumia mwanamke ungweza kuweka akiba, kuwekeza, kusaidia ndugu zako, kujiongezea thamani mwenyewe n.k

Na ukiamua kukataa jukumu la kuhudumia mwanamke kuna opportunity costs zake pia mahusiano yako na wanawake kuwa magumu kama ulivyosema.

Regardless of opportunity costs za kila upande bado maamuzi ya kukataa kuhudumia mwanamke yatakua na faida zaidi kwa mustakabali wa kijana.

Sikatai kuhudumia lakini hudumia mwanamke anaestahili huduma zako sio kuhudumia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Jinsia ya kike sio justification ya kuwa tegemezi.
Hiyo aya ya mwisho ndio inatakiwa iwe hoja yako ya msingi hata usingepishana na bwana Etugrul Bey
 
Back
Top Bottom