Ungekuwa mwanamke tungekwita chizi ub Oooooo ila kama mwanaume sijui tukwite nani?mara nyingi nawaona wanachemkaga sana
hawa mabinti kanaweza kukudokeza vituko vyake ukakasikiliza ukabaki kukapa hisani tuh mana vinajituma kwa kweli ukifanya mchezo unaweza kumsahau mama nyumbani