"Bora ukosee kujenga kuliko kukosea kuoa" ni msemo wa kijinga kabisa. Unajua gharama za ujenzi wewe?

"Bora ukosee kujenga kuliko kukosea kuoa" ni msemo wa kijinga kabisa. Unajua gharama za ujenzi wewe?

Ukikosea kuoa hata hiyo nyumba unaipoteza.

Maana mkiachana kuna mgawanyo wa mali.
na me huo msemo niliuelewa hivyo huenda mwandishi ana akili nyingi kama tulivyoambiwa wanawake tuishi nao kwa akili. Mwandishi asibezwe hoja anayo.

kuna jamaa alisema ukiona mke wako mkorofi na una miliki mali za thamani hati zote za nyumba andika jina la mama yako mzazi wakija kuangalia wanakuta mume hana chochote kwahiyo huyo mke anakuwa amekosa alichokikusudia.
 
Kwa mikoani hakuna mtu wa miaka 30 asiye na mke wala nyumba,nyie wa mjini ndio mnafia kwenye upangaji na kufa kibudu bila mke wala mtoto
Mkuu umenifikirisha sana! Wakati wewe ukisema nyumba yenye maaana ni zile za Mil 30 and above kuna mwamba amekusonya na kutema mate chini.

Dunia yetu ni duara na Sisi binadamu ni sawa na Vidole kwenye kiganja cha mkono, kamwe hatulingani kwa vingi. Hiyo Mil 30 kwa mwingine ni ndani ya nyumba yake ni gharama ya kutengeneza Gardens, Ama jiko nk.

Kuna mwamba yuko kule Newala Mahuta huko aliko yeye akipata Mil 30 atajenga nyumba 10.

Kwa mtazamo huo kikubwa kwako ni kidooogo sana kwa mwingine and vice versa. Thamani ya muunganiko wa Ndoa kamwe huwezi kuiweka kwenye mizania ya thamani ya nyumba au gari. Lets be humble mkuu Ndoa na iheshimiwe
 
Nilitumia miaka zaidi ya 10 nyumba yangu kukamilka kabisa,gharama sitataja ila itoshe kusema nyumba yangu ni ya thamani kuliko wanawake wote niliowahi kuoa au kuwa nao kwenye mahusiano.

Leo hii ukibomoa hako kajumba kangu umenimaliza,kuja kuijenga tena sio rahisi,lakini huyu mke hata akiondoka leo mwezi mmoja navuta mwingine

Hapa naongelea nyumba za kuanzia milioni 30 sio hizo slope za Singida

Tusidanganyane
Kosea kuoa uone kama mkeo hajakunyanganya hako kajumba Kako.
 
Nilitumia miaka zaidi ya 10 nyumba yangu kukamilka kabisa,gharama sitataja ila itoshe kusema nyumba yangu ni ya thamani kuliko wanawake wote niliowahi kuoa au kuwa nao kwenye mahusiano.

Leo hii ukibomoa hako kajumba kangu umenimaliza,kuja kuijenga tena sio rahisi,lakini huyu mke hata akiondoka leo mwezi mmoja navuta mwingine

Hapa naongelea nyumba za kuanzia milioni 30 sio hizo slope za Singida

Tusidanganyane
Kwaiyo nyumba yako Ina thamani ya million 30 na umeijenga Kwa miaka 10🤣🤣🤣🤣🤣🤣?
 
na me huo msemo niliuelewa hivyo huenda mwandishi ana akili nyingi kama tulivyoambiwa wanawake tuishi nao kwa akili. Mwandishi asibezwe hoja anayo.

kuna jamaa alisema ukiona mke wako mkorofi na una miliki mali za thamani hati zote za nyumba andika jina la mama yako mzazi wakija kuangalia wanakuta mume hana chochote kwahiyo huyo mke anakuwa amekosa alichokikusudia.
Na mama yako akifa itabidi Mali ziingizwe kwenye mirathi ya mamayako Kisha mgawane na ndugu zako
 
Thamani ya nyumba unaipima kwa pesa, 30M + You said.

Thamani ya mke unaipima kwa amani, furaha, mawazo chanya, na muendelezo bora wa familia/ukoo.
Kosea kuoa upate mke mjinga achome hiyo nyumba yako ya mamilioni kwa moto.
Au, akunyime furaha kwa mambo ya kijinga anayofanya.
Au,akuzalie watoto wadhaifu kiakili, tutumie mamilioni kujaribu kuwasomesha, kuwalipia tuisheni n.k na bado wafeli, waishie kuwa useless, watapanye mali zako, uwe masikini tena na uhuzunike maisha yako yote kwa kuwa na watoto wajinga.

Think again.
 
Back
Top Bottom