Bora ushamba siwezi kumla papa mzima na nyama yake, hata wakati wa kuvua baharini simgeuzi

Bora ushamba siwezi kumla papa mzima na nyama yake, hata wakati wa kuvua baharini simgeuzi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello Hello JF

katika maisha yangu naogopa kumla papa na nyama yake na ikitokea nikienda kuvua baharini simgeuzi naacha nyavu iamue naogopa sana, wengine kazi ya uvuvi hatujazoea. Papa tumpe Uhuru wake hasa mabawa yake yaendelee kubaki intact pasipo choko choko za wavuvi.

Karibuni wavuvi camp leo kuna party la weekend kama kawaida.

Madensa waipate hii

Wadiz
 
Unamzungumzia papa samaki wa baharini au papa code? Kama ni papa samaki wa baharini hapo sawa.
 
Na sisi wawindaji haramu wa swala, tunaruhusiwa pia kuchangia kwenye huu uzi?
 
Hello Hello JF

katika maisha yangu naogopa kumla papa na nyama yake na ikitokea nikienda kuvua baharini simgeuzi naacha nyavu iamue naogopa sana, wengine kazi ya uvuvi hatujazoea. Papa tumpe Uhuru wake hasa mabawa yake yaendelee kubaki intact pasipo choko choko za wavuvi.

Karibuni wavuvi camp leo kuna party la weekend kama kawaida.

Madensa waipate hii

Wadiz
Budweiser buku 9000 ngoja nianzie na za 3000 mtaani
 
Back
Top Bottom