Bora usome Advance kwanza ukienda Diploma utasoma muda wowote

Bora usome Advance kwanza ukienda Diploma utasoma muda wowote

Wapo waliotoka diploma wanafanya vizuri ila ulichokiongea kina ukweli kwa uzoefu wangu waliotoka form 6 huwa wanakua vzr kuliko waliotoka diploma pale wanapokutana kwenye ngazi ya degree. Lakini yote kwa yote hapa bongo malezi yetu kitaaluma na kijamii ni ngumu sana mtu kujua kipaji/kipawa chake tangu mapema ili aweze kujinoa zaidi ivyo tunajikuta wote tunakomaa na shule hata tukidunda hapo kati kwenye form 4 au 6 tunaunga unga tu mpaka uko ngazi ya degree kibishi lakini kiuhalisia elimu ya kitabu sio kwa ajili ya kila mtu.
Sorry
Yani mtu alietoka diploma let say ya C.Engineering na mtu alietoka A level wakikutana ngazi ya degree alietoka A level ndio anakuwa vizuri??

Au mimi nimekuelewa vibaya.
Embu kuwa serious kidogo.
 
Sorry
Yani mtu alietoka diploma let say ya C.Engineering na mtu alietoka A level wakikutana ngazi ya degree alietoka A level ndio anakuwa vizuri??

Au mimi nimekuelewa vibaya.
Embu kuwa serious kidogo.
Nimesema kwa uzoefu wangu mkuu, sijui hayo masuala ya injinia mimi nimesoma masomo ya biashara. Wanafunzi waliotoka ECA form 6 perfomance yao ilikua nzuri kuliko waliotokea diploma ya uhasibu.. diploma njia mbadala baada ya kukwama njia kuu wengi wanaotoka diploma walikwama form 4 wakasoma certificate au walikwama 6 na kushindwa kwenda bachalor degree ndio wakaingia diploma ili wadike degree
 
Nimesema kwa uzoefu wangu mkuu, sijui hayo masuala ya injinia mimi nimesoma masomo ya biashara. Wanafunzi waliotoka ECA form 6 perfomance yao ilikua nzuri kuliko waliotokea diploma ya uhasibu.. diploma njia mbadala baada ya kukwama njia kuu wengi wanaotoka diploma walikwama form 4 wakasoma certificate au walikwama 6 na kushindwa kwenda bachalor degree ndio wakaingia diploma ili wadike degree
Sijui nikueleze vipi ila nadhani ushanielewa nilichotaka kusema.

Wakati mwingine usijenerolizi mambo sawa?
 
Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri.

Mimi naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Hii sio chai kweli hii??
 
Mimi nimesoma na watu wa diploma university na course zilikuwa ni hizi za engineering walikuwa nondo hatari sehemu pekee ilikuwa inawapa shida ni hesabu kidogo ambazo ni course 1 Tu zingine zote wako vizuri na GPA kubwa Sisi tunapambania boom 7000 wao wanakuja wanadrive
 
Yani ushindane kusoma kitu ambacho alishakisoma tayari na akuangalizie? Sema umekutana na vilaza kama vilaza wengine. Mtu wa diploma sio sawa na Advance. Dip yuko mbali sana ukitaka kuamini nenda katafute kazi na cheti cha Adv mwenzako ana Dip uone.
 
Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri.

Mimi naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Baada ya kuanguka form 6 umekutana na form 4 hapo wewe ndo kilaza
Ungepita diploma ungekua degree au kazini au huko mtaani na diploma yako unakula vidili vya hapa na pale
Sasa ukakinbilia form 6 usipopaweza😀
 
Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri.

Mimi naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Akili za vitoto vya 2000 bwana🤣🤣, haya bwana Uko sahihi
 
Je una uhakika gani kama nao hawakuoni unauwezo mdogo ? Form six inakuwa na uwexo gani mkubwa wa kufikiri kuliko diploma ? Which content ?
Assume wewe umeishia form six na yeye kaishia diploma. Huoni wewe mtaani itakuwa TABULA RASA. Ila wewe bado kweli fomu zixii!!.
Mtu asome diploma ya madini na wewe siz muwe sawa? Do you think hili ni jukwaa la masikhara ?
Mpo hapo chuoni kwa ajili ya kwenda kufanya kazi hamna kingine ! Mwanafunzi anae Disco tu ndio hatapata kazi. Hayo matheory yataishia huko huko chuo.
Kazini utamkuta Bosi wako ambae ni kilaza na huo ufaulu wako hautabadiri chochote.Amka usingizini hso Dop huenda wakakusaidia connection.
 
Sasa mtu aliyemaliza form 6 akija kuomba kazi kwenye kampuni yangu nimuajiri kwenye nini? labda mesenja wa kupeleka barua na vifurushi.
Wafanya kazi wangu wamesoma ufundi veta kuna welders 2 , Lather 2 na Mimi mwenyewe nina mechanical eng degree, kazi yangu ni quality control na logistic ya material and resources.
Wafanyakazi wangu wakubwa ni hao wanne, na welders siku hizi wanafundishwa CAD drawing application yani anaweza kumsikiliza mteja anataka nini, halafu anachora kwa CAD, ukikubalika, anaanza kazi, ya kuchomelea mwenyewe mpaka mzigo unakamilika, pia na wale wa lathe machine wanachonga vipuri.
Sasa wewe wa form 6 utafiti wapi wakati hata kutoa mchoro wa CAD huwezi, labda kidogo ingekusaidia kupata kazi.
Mkuu huyo bado mtoto. Muhurumie tu.
 
Form six akiamua anavipata hivyo vyote tena Kwa mdaa mchache sana na anaweza akawa na multiskill Sasa hao ma welder zidhani kama Wana unabavu huo zaidi ya kuishia kuumwa macho
Hakuna aliekwambia huwezi vipata ila unakuwa umetumia muda vibaya. Hio pcm yako ujifananishe na injinia wa diploma . Welding mwenzio ni sehemu ya kozi yake. Mwenzio anasoma eng mathematics wewe unahangaika na Adv maths embayo ni general. Zamani waliosoma FTC chuo walisoma miaka 3 wakati form six miaka 4. We dogo acha kuchokoza watu humu. Pambania elimu yako acha kuchunguza watu chuoni, wanaweza pata gpa kubwa kiliko wewe na siku moja wakawa mabosi wako.Usije sema hatukukwambia.
 
Back
Top Bottom