lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Wote ni walewale na hayo mambo ni utapeli watu huwa wanapangwaHuyu anaitwa Baba , Muheshimiwa, Mkuu nabii George Davie Kwa Arusha yuko Kisongo huko..... Sadaka anazikusanya hasa.... Lkn anarudisha Kwa waumini wake utasikia katikati ibada inasimama show inaanza ametoa pikipiki 10..... Ametoa mtaji Kwa wamama Samunge.... Bajaji.... Laki Tano tano Kwa watu na idadi hazihesabiki.... Jamani mnyonge mnyongeni haki yake apewe Kwa hili yuko vizuri.... Kuna Wengine hatujawahi sikia...sadaka zinapitia wapi me sipo huko nimeongea tu ...... Pokea maua Muheshimiwa. .. Nabii.
Kkkt wanapigajeWote ni walewale na hayo mambo ni utapeli watu huwa wanapangwa
Bora huyu Mkuu hata kama anapiga ila angalau anarudisha... Yule kiboko ulisikia story yake laki Tano unatoa na anakufarakanisha na familia mzima huambulii hata 100 huyu George Davie aisee anasaidia wengi siko huko lkn Nina access Nako najua nachoongea.Wote ni walewale na hayo mambo ni utapeli watu huwa wanapangwa
Hao ndio ufisadi kweupe kanisani watu wanajua kucheza chess ni Roman aisee majamaa wako vizuri.... Na ikijulikana unapiga huambiwi ila kuondolewa kwako itakuwa mithili ya ashakumu si matusi.... Harufu ya ujambo ktkt ya watu utasikia tu harufu hutajua ni nani na harufu itaisha kimyakimya.... Unashushwa chapu.... Intelijensia yao sijawahi ona..... Angalia hata maisha wanayoishi mapadri na masista makanisa yanayojengwa ni hatar..Kkkt wanapigaje
hapo kanisa la kusali ni TAG tu, hayo mengine ni abrakadabra tu, katholic tanzania ndio hamna kitu. watu wanataka makanisa ya kuwajenga kiroho wakue na sio makanisa yenye mafundisho yaleyale kila mwaka. kwa manabii ndio utopolo mtupu hawafundishi kuukulia wokovuHivi watu mnaoendaga kusali kwa manabii huwa mnawaza nini vichwani vyenu?
Makanisa ya kusali si yapo jaman
Kuna TAG, AIC, KKKT, TANZANIA CATHOLIC, ANGALIKANA , MORAVIAN
hayo yote ni madhehebu lakin watu hamtaki kwenda kusali mnaenda kwa manabii
Ubalikiwe sana mtumish TAG ni hatari sana Kuna vijana wana nguvu za kiroho mpaka unaogopa, wanamjua MUNGU na MUNGU anawajuahapo kanisa la kusali nitTAG tu, hayo mengine ni abrakadabra tu, katholic tanzania ndio hamna kitu. watu wanataka makanisa ya kuwajenga kiroho wakue na sio makanisa yenye mafundisho yaleyale kila mwaka. kwa manabii ndio utopolo mtupu hawafundishi kuukulia wokovu
Me naheshimu popote. Anaposali mtu maana hujui madhabahu ya hpo imemtendea nn.... Kwamf ... Wakatolic atakupa story alivyosaidiwa na Mama Bikira Maria na Yesu wa Ekaresti.... Na ukiangalia katendewa kwl..... Kwahivyo popote panapompa amani mtu aende ila Kwa umakini maana kumeharibika mno mkuuhapo kanisa la kusali nitTAG tu, hayo mengine ni abrakadabra tu, katholic tanzania ndio hamna kitu. watu wanataka makanisa ya kuwajenga kiroho wakue na sio makanisa yenye mafundisho yaleyale kila mwaka. kwa manabii ndio utopolo mtupu hawafundishi kuukulia wokovu
DuuuUbalikiwe sana mtumish TAG ni hatari sana Kuna vijana wana nguvu za kiroho mpaka unaogopa, wanamjua MUNGU na MUNGU anawajua
Lakin usiwadharau Tanzania CATHOLIC wako vizur ile mbaya au kwakuwa una waona wako wengi ndo maana huna iman nao
Masanja kasema biashara ya kanisa haina Pesa, kaacha karudi kwenye comedy sasaNaanzisha chechi jameni. Fikiria una watu 500 wanakupa buku buku kila siku!
Masanja kasema biashara ya kanisa haina Pesa, kaacha karudi kwenye comedy sasa
wanajenga makanisa majengo makubwa lakini mafundisho yao ni duni, ni ya kiluturujia nchi nzima mstari wa kusomwa ni uleule makanisa yao yote waumini wanatoka ibadani wakavu kirohoHao ndio ufisadi kweupe kanisani watu wanajua kucheza chess ni Roman aisee majamaa wako vizuri.... Na ikijulikana unapiga huambiwi ila kuondolewa kwako itakuwa mithili ya ashakumu si matusi.... Harufu ya ujambo ktkt ya watu utasikia tu harufu hutajua ni nani na harufu itaisha kimyakimya.... Unashushwa chapu.... Intelijensia yao sijawahi ona..... Angalia hata maisha wanayoishi mapadri na masista makanisa yanayojengwa ni hatar..