Bora ya George Davie

Masanja kasema biashara ya kanisa haina Pesa, kaacha karudi kwenye comedy sasa
Haina pesa kama unamwogopa Mungu. Ila kama hauogopi ina hela sana. Kuna yule nabii mkubwa Dar es salaam. Hajajenga hata zahanati au shule kusaidia watoto bali kaangusha bonge la hoteli mbeya na watu daily wanajaa kwake. Wajinga ndio waliwao.
 
... 'siko huko mimi'... Hii kauli yako inamaanisha nini kujitoa kwenye jambo ambalo tayari umeliongea mwenyewe?
 
mlokole umejazwa na uwehuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…