Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hivi sipati kadi yangu ya mwaliko?Kaka very serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi sipati kadi yangu ya mwaliko?Kaka very serious
Sasa Hawa mbona wanazidi kuja tu..Hawafahamu ama?..Itabidi tuandae press conference aisee ili kumtambulishaDaddy si nilishamleta jamani?
Haha mpe mama yake pesa anazipenda kama wallet utamchukua kiurahisiMambo yenyewe
Kupiga penalty kama Arturo vidal
umesemaa? ??
Itabidi tufanye hivyo. Hali ya mkweo sio nzuri kabisaSasa Hawa mbona wanazidi kuja tu..Hawafahamu ama?..Itabidi tuandae press conference aisee ili kumtambulisha
Ndo jibu gani mpendwa?Nilitegema nitakutana na jibu maridhawa.
Cc: mahondawHmmm.... Hii pasaka jamani imegeuka kama Ramadhan. Maana Ramadhan ikikaribia ndoa zinakuwa nyingi.. Watu wanataka kupikiwa futari .... Naona pasaka nayo Inataka kugeuka msimu wa wapendanao. Jamani ni pasaka sio Valentine ....tunatowa zuio la muda... We are not yet done with Mahondaw and Smart 11.please hold on UrbanGentleman.
Aah utapata tunafanyia dar es salaam serena hotel reception... Jumamos itakua 22nd kanisa ni st peter. Kama uko serious nikupeHivi sipati kadi yangu ya mwaliko?
Sitaki kuamini kama mimi mtu wako wa karibu nimesahaulika hivi.Aah utapata tunafanyia dar es salaam serena hotel reception... Jumamos itakua 22nd kanisa ni st peter. Kama uko serious nikupe
22nd ya next month, right? NtakupmAah utapata tunafanyia dar es salaam serena hotel reception... Jumamos itakua 22nd kanisa ni st peter. Kama uko serious nikupe
Haha twin asikulaumu siku yako ikifika eeh?Sitaki kuamini kama mimi mtu wako wa karibu nimesahaulika hivi.
Wewe haya bwana,usijenipa lawama ikifika zamu yangu [emoji4]
Sikukosi aaata wewe ni muhimu utaipata na uje na mzeeSitaki kuamini kama mimi mtu wako wa karibu nimesahaulika hivi.
Wewe haya bwana,usijenipa lawama ikifika zamu yangu [emoji4]
This month bhana umesahau soon after easter22nd ya next month, right? Ntakupm
Ooops next jumamosi, em tutaona itakavyokuwaThis month bhana umesahau soon after easter
KabisaaaaaaaaHaha twin asikulaumu siku yako ikifika eeh?
Ndio uitoe mapema sasa watu tujiandae [emoji39]Sikukosi aaata wewe ni muhimu utaipata na uje na mzee
Kwema mkuu,kwa mbaaali nakuona kama umejawa na kawivu.Hahahahaha lol! Labda katonywa mahali kwamba weye ni mkaangizaji mzuri sana wa futari na mahanjumati pia 🙂🙂