Mpira ulaya kakaAseee Yellow 🧱
View attachment 2984122
Ball controllHii haina majina makubwa ila wanacheza kitimu mzee
Sasa hapo ni nje kaka ukutane nao uwanjani😂ule uwanja wa Dortmund utabakia kuwa uwanja mgumu tuuMpira ulaya kaka
Unatazama hii video mpaka mwili unakusisimka aiseee
Dortmund sina cha kuwadai mpaka pale mlipofikia uefa🙌🙌🙌🙌🙌natamani tu muwe mabingwa
Fainali ile iliyochezwa wembley irudiwe tu na hawahawa bayernSasa hapo ni nje kaka ukutane nao uwanjani😂ule uwanja wa Dortmund utabakia kuwa uwanja mgumu tuu
Miaka 11 mzee sio mchezoAseee Yellow 🧱
View attachment 2984122
Mentality inacheza nimeanza kuamin hii mkuu.. ukiangalia Arsenal, PSG wanabakia kuwa timu ndogo Ulaya kwa sababu ya mentality zaoBall controll
Ball balance
Nidhamu ya hali ya juu aiseee psg wenyew hawaamini nini kimewapata
Kile kipind wanampiga madrid nne kwake wakaja kufungwa na Bayern Fainal mbili mojaMiaka 11 mzee sio mchezo
Ukimuona Sancho huku unajua Man U pana shida...Manchester yangu tuna safari ndefu sana kufikia mpira huu
SIdhani kama ile psg ni ya mahela mengi jamaa anasuka timu na sio kujaza mastaayou are right
too much money can't win you trophy psg are doomed
Mpira waliocheza psg baada ya kocha kufanya sub ndio mpira waliotakiwa kuucheza toka unaanza Na wangefanikiwa kupata matokeo tuKabisa, Timu haina Hata Mipango 😀
Huku tupo gizani kaka kushangilia tu hatujuiYanga ilibidi wafanye hivi walipoingia fainali ya kombe la shirikisho kwa mara ya kwanza msimu uliopita
Ile defence inaokoa na kutoa pasi hapohapo we unaweza sema jamaa kaokoa kumbe katoa na pasi kabisaaDortmund's tactical defense must be studied ni balaa
Hatimaye tuko fainaliUnderdog aliyetabiriwa alikuwa BVB, ebu tusubiri Semi Final mambo yatakuwajeView attachment 2965981