Borussia Dortmund (The Black and Yellows) - Official Thread

Borussia Dortmund (The Black and Yellows) - Official Thread

Nimepumzika movie, sikuoni siku hizi.
Huku baridi limeanza hamna hata raha ya kukaa nje ya blanket
Nakula sana mitaa humu sijakubahatisha kitambo sana...

Nimefurahi kukuona...


Baridi inakujaje wakati nasikia makonda anawapa joto 😃😃😃
 
Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund, commonly known as Borussia Dortmund [boˈʁʊsi̯aː ˈdɔɐ̯tmʊnt],[2] BVB,

Borussia Dortmund logo.svg
Full nameBallspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund
Nickname(s)Die Borussen
Die Schwarzgelben
(The Black and Yellows)
Der BVB (The BVB)
Short nameBVB
Founded19 December 1909; 111 years ago
GroundWestfalenstadion
Capacity81,365[1]
PresidentReinhard Rauball
ChairmanHans-Joachim Watzke (CEO)
Head coachMarco Rose
LeagueBundesliga
2020–21Bundesliga, 3rd of 18
WebsiteClub website

Borussia Dortmund iliasisiwa 1909 na kabla kuanzishwa Bundesliga 1963 ilikwishatawazwa mabingwa mara si chini ya mara 3.

Borussia Dortmund ingawa iliasisiwa tayari 1909 ni baada ya vita vya pili vya dunia vilivyoishia 1945,ndipo klabu hii ilipoanza kutamba.Pale ilipoundwa Bundesliga-Ligi ya leo ya Ujerumani hapo 1963,Borussia Dortmund ilikwishatawazwa mabingwa wa ujerumani mara 3.

1965 Dortmund ilishinda kombe la shirikisho la dimba la Ujerumani na ikakata tiketi ya kuania kombe la washindi la ulaya.Dortmund ikatia for a hadi finali hapo mei 1966 mjini Glasgfow dhidi ya Fc Liverpool ya Uingereza.Baada ya dakika 90 timu hizo 2 zilisimama suluhu bao 1:1.

Misukosuko ya Dortmund ilifikia kilele chake 1972 pale iliangukia daraja ya 3 ya kimkoa.1976,Borussia Dortmund ilirudi kuwa timu ya wastani katika Bundesliga. Mwishoni mwa msimu wa 1978 mahasimu 2-FC Cologne na Borussia Mönchengladbach zilikuwa kileleni hadi mechi ya mwisho ziokiania taji la ubimngwa.

Ili itawazwe bingwa na kuipiku FC Cologne,kwenye mechi ya mwisho, Borussia Mönchengladbach ilihitaji kuilaza B.Dortmund kwa mabao mengi sana.Hasimu wa Borussia Mönchengladbach, katika mpambano huo wa mwisho wa Ligi akawa B.Dortmund.Dortmund ikamuweka kijana chipukizi kulinda au kuliacha wazi lango lake.Kipa huyo chipukizi aliitwa Peter Endrulat.

Borussia Dortmund ilifufuka baada ya kunyakuwa ushindi wa kombe la shirikisho la dimba la Ujerumani 1989 ilipoilaza Werder Bremen.Miaka iliofuatia hapo ndio ya mafanikio makubwsa katika historia ya klabu hii.1995 na 1996 B.Dortmund ilitawazwa kwa mara ya 4 na ya 5 mabingwa wa Ujerumani.

Katika msimu wa 1996/97 ulikua msimu tena wa kutamba katika champions League-kombe la klabu bingwa barani ulaya.Dortmund ilipambana na Juventus Turin katika finali na ikiongoza kwa mabao 2:1 katika uwanja wa Olimpik wa Munich

View: https://youtu.be/cBCqFOIkqoU?si=JV36z2RtnsolQioB
 
Nakula sana mitaa humu sijakubahatisha kitambo sana...

Nimefurahi kukuona...


Baridi inakujaje wakati nasikia makonda anawapa joto 😃😃😃
Haha nipo,, nitausaka ule uzi nije kuangalia movie mpya.
Sahii nilikuwa nacheck check FF.

Makonda me akitaka anifurahishe azibe mashimo kwenye lami. Kuna vipande jau sana…
 
Haha nipo,, nitausaka ule uzi nije kuangalia movie mpya.
Sahii nilikuwa nacheck check FF.

Makonda me akitaka anifurahishe azibe mashimo kwenye lami. Kuna vipande jau sana…
Sawaa utamkuta Vincenzo Jr mtaalamu wa hizi kazi za movie mpya

Barabara nzuri ni ya moshi tuu last time nimekuja niliona hilo
 
Update

No.Pos.NationPlayer
1GKSwitzerland SUIGregor Kobel (vice-captain)
2DFSpain ESPMateu Morey
4DFGermany GERNico Schlotterbeck
5DFAlgeria ALGRamy Bensebaini
6MFTurkey TURSalih Özcan
8MFGermany GERFelix Nmecha
9FWIvory Coast CIVSébastien Haller
10FWEngland ENGJadon Sancho (on loan from Manchester United)
11FWGermany GERMarco Reus
14FWGermany GERNiclas Füllkrug
15DFGermany GERMats Hummels
16FWBelgium BELJulien Duranville
17MFGermany GERMarius Wolf
18FWGermany GERYoussoufa Moukoko

No.Pos.NationPlayer
19MFGermany GERJulian Brandt
20MFAustria AUTMarcel Sabitzer
21FWNetherlands NEDDonyell Malen
22DFNetherlands NEDIan Maatsen (on loan from Chelsea)
23MFGermany GEREmre Can (captain)
25DFGermany GERNiklas Süle (3rd captain)
26DFNorway NORJulian Ryerson
27FWGermany GERKarim Adeyemi
30MFGermany GEROle Pohlmann
32MFGuinea GUIAbdoulaye Kamara
33GKGermany GERAlexander Meyer
35GKPoland POLMarcel Lotka
38MFGermany GERKjell-Arik Wätjen
43FWEngland ENGJamie Bynoe-Gittens
47DFGermany GERAntonios Papadopoulos
 
Current club captain
1717311490532.png
 
BVB hawakuwa serious kabisa, mechi ilikuwa ya kwao first half...clear chances wameshindwa kutumia.
 
BVB hawakuwa serious kabisa, mechi ilikuwa ya kwao first half...clear chances wameshindwa kutumia.
First half walishindwa kutumia nafasi. Makosa kama haya waliyafanya pia msimu waliotakiwa kuwa mabingwa
 
Back
Top Bottom