HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
PoleHuyu boss nahisi Ana mapepo wachafu. Issue ilikiwa hivi, tarehe 19 aliniita ofisini kwake, akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote.
Tulipomaliza kufanya mahesabu, akanipa mshahara wangu Na kuniambia akinihitaji ataniita.
Kwa kuwa nililetwa hapo na mwenye kampuni, naye alikuwa ameniajiri Na kunikabidhi kwa HR ili waniandalie mkataba.
Ni zaidi ya miezi sita sasa, HR hawajanipa mkataba wangu, wanasingizia hadi aje owner ambaye muda mwingi yuko kwao Sweden.
Basi nilipopewa mazaga yangu nikarudi home kukaa, juzi nikaona nimjulishe owner kwamba nimeondolewa kazini bila sababu yoyote.
Leo owner kampigia simu boss kumuuliza kwanini kaniondoa?/boss akajibu eti Mimi Nina matatizo ya kifamilia tena makubwa ila uakipungua atanirudisha.
Owner aliponieleza hayo nikashangaa sana kwani Mimi familia yangu ina amani sana.
Owner kuniambia kwamba nimjulishe boss kwamba nimesha maliza Matatizo jumatatu Niko tayari kwa kazi.
boss kamaindi sana.
Kakasirika haswa. Ila atafanyeje?
una utu gani wewe mjinga tuu.siungekua bosiweweKutembea Na boss ni kudhalilisha utu wako
In short jamaa ni havutiiHata kutongoza mwenyewe hajui, kila weekend anauliza sasa weekend inakuwaje?
ushangae kuwepo kwako kunazuia wasipge michongoHuyu boss nahisi ana pepo wachafu. Issue ilikiwa hivi, tarehe 19 aliniita ofisini kwake, akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote.
Tulipomaliza kufanya mahesabu, akanipa mshahara wangu na kuniambia akinihitaji ataniita. Kwa kuwa nililetwa hapo na mwenye kampuni, naye alikuwa ameniajiri na kunikabidhi kwa HR ili waniandalie mkataba.
Ni zaidi ya miezi sita sasa, HR hawajanipa mkataba wangu, wanasingizia hadi aje owner ambaye muda mwingi yuko kwao Sweden.
Basi nilipopewa mazaga yangu nikarudi home kukaa, juzi nikaona nimjulishe owner kwamba nimeondolewa kazini bila sababu yoyote.
Leo owner kampigia simu boss kumuuliza kwanini kaniondoa?/boss akajibu eti mimi nina matatizo ya kifamilia tena makubwa ila uakipungua atanirudisha.
Owner aliponieleza hayo nikashangaa sana kwani mimi familia yangu ina amani sana.
Owner kuniambia kwamba nimjulishe boss kwamba nimesha maliza mtatizo jumatatu nipo tayari kwa kazi.
boss kamaindi sana.
Kakasirika haswa ila atafanyeje!
mwendeleeniBoss aligoma kusaini madai yangu ya uhamisho. Nilipowajuza makao makuu nikalipwa haraka. Kilichobaki ni bifu la Hatari hadi naona kibarua kimekuwa kigumu
Wananiogopa, huu ndio mwanzo wa kurogwaushangae kuwepo kwako kunazuia wasipge michongo
nakuhurumia wanahisi unaweza peleka habarWananiogopa, huu ndio mwanzo wa kurogwa
Akuanzae usimche akuanzeHuyu boss nahisi ana pepo wachafu. Issue ilikiwa hivi, tarehe 19 aliniita ofisini kwake, akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote.
Tulipomaliza kufanya mahesabu, akanipa mshahara wangu na kuniambia akinihitaji ataniita. Kwa kuwa nililetwa hapo na mwenye kampuni, naye alikuwa ameniajiri na kunikabidhi kwa HR ili waniandalie mkataba.
Ni zaidi ya miezi sita sasa, HR hawajanipa mkataba wangu, wanasingizia hadi aje owner ambaye muda mwingi yuko kwao Sweden.
Basi nilipopewa mazaga yangu nikarudi home kukaa, juzi nikaona nimjulishe owner kwamba nimeondolewa kazini bila sababu yoyote.
Leo owner kampigia simu boss kumuuliza kwanini kaniondoa?/boss akajibu eti mimi nina matatizo ya kifamilia tena makubwa ila uakipungua atanirudisha.
Owner aliponieleza hayo nikashangaa sana kwani mimi familia yangu ina amani sana.
Owner kuniambia kwamba nimjulishe boss kwamba nimesha maliza mtatizo jumatatu nipo tayari kwa kazi.
boss kamaindi sana.
Kakasirika haswa ila atafanyeje!
Sasa huo ndiyo utongozaji gani wa kishamba?.Apo umemuweza alikutongozaga nn?
Hilo boss lipumbavu!Huyu boss nahisi ana pepo wachafu. Issue ilikiwa hivi, tarehe 19 aliniita ofisini kwake, akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote.
Tulipomaliza kufanya mahesabu, akanipa mshahara wangu na kuniambia akinihitaji ataniita. Kwa kuwa nililetwa hapo na mwenye kampuni, naye alikuwa ameniajiri na kunikabidhi kwa HR ili waniandalie mkataba.
Ni zaidi ya miezi sita sasa, HR hawajanipa mkataba wangu, wanasingizia hadi aje owner ambaye muda mwingi yuko kwao Sweden.
Basi nilipopewa mazaga yangu nikarudi home kukaa, juzi nikaona nimjulishe owner kwamba nimeondolewa kazini bila sababu yoyote.
Leo owner kampigia simu boss kumuuliza kwanini kaniondoa?/boss akajibu eti mimi nina matatizo ya kifamilia tena makubwa ila uakipungua atanirudisha.
Owner aliponieleza hayo nikashangaa sana kwani mimi familia yangu ina amani sana.
Owner kuniambia kwamba nimjulishe boss kwamba nimesha maliza mtatizo jumatatu nipo tayari kwa kazi.
boss kamaindi sana.
Kakasirika haswa ila atafanyeje!
Ni mkinga au mgogo?Huyu @boss nahisi ana pepo wachafu.
Huyo Yeyote awaye anaefahamika kwa jina la boss( ingawa hana sifa ) KUFA NA AFE. Pamoja na yeyote mwenye Tabia kama za huyo. 🤸🧘🧘👏Nawaza sijui atakuangaliaje tena
Hebu acha ushenzi wako. Mbele za watu. Hana utu ulimuumba wew? Na huo ubosi unajua kesho yake? Ni akili gani hizi?una utu gani wewe mjinga tuu.siungekua bosiwewe
fitnaaaa isee pole sana hapo alitakiwa kupachikwa mtu.. sasa wewe unamtu giant yupo nyuma yako image maelfu ya vijana ambao hawana watu na wanafanyiwa mambo kama uliyofanyiwa..Huyu boss nahisi ana pepo wachafu. Issue ilikiwa hivi, tarehe 19 aliniita ofisini kwake, akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote.
Tulipomaliza kufanya mahesabu, akanipa mshahara wangu na kuniambia akinihitaji ataniita. Kwa kuwa nililetwa hapo na mwenye kampuni, naye alikuwa ameniajiri na kunikabidhi kwa HR ili waniandalie mkataba.
Ni zaidi ya miezi sita sasa, HR hawajanipa mkataba wangu, wanasingizia hadi aje owner ambaye muda mwingi yuko kwao Sweden.
Basi nilipopewa mazaga yangu nikarudi home kukaa, juzi nikaona nimjulishe owner kwamba nimeondolewa kazini bila sababu yoyote.
Leo owner kampigia simu boss kumuuliza kwanini kaniondoa?/boss akajibu eti mimi nina matatizo ya kifamilia tena makubwa ila uakipungua atanirudisha.
Owner aliponieleza hayo nikashangaa sana kwani mimi familia yangu ina amani sana.
Owner kuniambia kwamba nimjulishe boss kwamba nimesha maliza mtatizo jumatatu nipo tayari kwa kazi.
boss kamaindi sana.
Kakasirika haswa ila atafanyeje!