Bosi alinisimamisha kazi bila sababu yoyote. Leo anamwambia mwenye kampuni kwamba nina matatizo ya kifamilia

Anza kubeti upate mtaji wa kujiajiri achana na kampuni za watu. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Make sure ukirudi unamtoa roho... Usiogope kutoa roho ya mtu mnafki mzandiki mfitini sio dhambi... Kill him in a secret way...
Alipandishe cheo alifanye msukule, liwe linamwingizia maokoto
 
Matatizo.ya kifamilia nayo yakizidi mtu kufukuzwa kazi ruksa

Huyo mzungu naye analea ujinga ingekuwa mimi ndiye huyo mzungu ningekuambia tu malizana nao huko huko niliowaacha nawaamini walilloamua ndio hilo hilo
Nina matatizo gani ya kifamilia?
 
Alikutaka kingono?
 
Hajawahi kuwa straight, weekend ndio huwa anauliza hii weekend vipi? Sasa hapo nitasema nimetakwa?
Yes, umetakwa. Weekend yako inamuhusu nini kama hataki muwe pamoja.

Si wote wanaoweza kusema straight, kila mmoja na uongeaji wake.

Wanaosema straight ni wale wqa koo za simba, na wa koo za simba wanajuwana wakionana tu. Wana ishara zao za asili na mangezi yao ya asili ambayo kama sio wa koo za simba hutoelewa kilichokusudiwa.

Uzuri wa koo za simba akishajua wewe sio katika koo za simba anakua hana interest tena na wewe, iwe mwanamke au mwanamme. laini haifikii kukufukuza kazi labda uwe ni wa koo za adui wa koo za simba.
 
Hata kutongoza mwenyewe hajui, kila weekend anauliza sasa weekend inakuwaje?
Hajui kua wwe tayari ulishampaa owner wa kampuni na ndiyo maana uko safe na ajira yako! Mwambie ukweli asicheze na vyombo vya Boss wake,atakuja poteza kazi!!
 
Pole
 
Bongo noma. Tuambie kama boss aliwahi kuomba k. Ili tusisumbuke kutafuta sababu
 
Rangi nyeusi ina laana hii.
Nafikiri walitaka kuweka mtu wao.

Mwanzoni nilikuwa siamini kama kuna watu wa aina hii kwenye jamii. Sasa naamini licha ya kusoma hapa, nimeshuhudia vituko mahala mahala, watu wengine ni wajinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…