Bosi huyu ataoa lini umri unaenda?

Nimengamua binti embe=binti mango
Huyo mstimu ndio nan mmeniacha ununio....
.
.
Anyway Acha boss akamatie fursa wao si wanapenda vya kuelea....
 
...wivu tu sababu hagongi mapungazeze;
..unatamani uolewe wewe,
.choko mchokozi!
 
Many = mengi
 
Ishi maisha yako

Mwache yeye aishi maisha aliyoamua kuishi ilimradi hakuingilii wewe kwenye maisha yako.

Usitake kumpangia ama kumfanyia maamuzi mtu mzima mwenye akili zake.

Hiyo ni very simple principle of life.

wazungu huwa wanasema......'Mind your own business'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…