Bosi mpya TANESCO Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga asema: Tunatarajia changamoto ya upungufu wa umeme imalizike Machi 2024

Bosi mpya TANESCO Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga asema: Tunatarajia changamoto ya upungufu wa umeme imalizike Machi 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga ametambulishwa mbele ya waandishi wa Habari leo Septemba 27, 2023 na kuelezea kuhusu mipango ya shirika hilo na kugusia kuhusu changamoto ya umeme.
IMG-20230927-WA0260.jpg

Kuhusu changamoto ya umeme Nchini, amesema “Tunatarajia hadi kufikia mwishoni mwa Machi 2024 tatizo hilo litakuwa limekwisha kwa kuwa tunatarajiwa kuwa tumekamilisha matengenezo yanayoendelea ya mitambo pamoja na visima vinavyotoa gesi asilia.

“Tunayo matarajio kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere litakapoanza kuzalisha umeme matataizo haya yatakuwa yamekwisha kabisa.”
IMG-20230927-WA0263.jpg

IMG-20230927-WA0264.jpg

Amesema Shirika linaendelea kukamilisha utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere litakalokuwa na uwezo wa kuzalisha Megawati 2115 ambao mpaka sasa umefikia 92%.

Ameeleza pindi mradi huu utakapokamilika na kuingizwa kwenye gridi ya Taifa utachangia kuimarika kwa hali ya umeme nchini kwa kiasi kikubwa

============= ===============


TAARIFA KAMILI YA TANESCO KUHUSU UPUNGUFU WA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linautaarifu umma kuhusu changamoto ya upungufu wa umeme katika vituo vyetu vya uzalishaji umeme nchini. Upungufu huo unachangiwa na ongezeko la mahitaji ya umeme kutokana na kukua kwa shughuli za kiuchumi, upungufu wa maji kwenye vituo vya kufua umeme unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi, pamoja na matengenezo yanaoendelea kwenye visima vya gesi asilia na mitambo ya kuzalisha umeme kwa gesi asilia. Kufuatia hali hiyo, baadhi ya maeneo nchini yamekua yanakosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti.

Shirika limepokea na tayari limeanza kutekeleza maagizo yaliotolewa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Nishati na tayari jitihada mahususi za ukelazaji za kukabiliana na changamoto hii zimeanza, kwa kuharakisha matengenezo ya mitambo ya kuzalisha umeme na matengenezo ya visima vya gesi asilia kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).

Ni matarajio yetu kuwa ndani ya mwezi oktoba kukamilika kwa matengenezo hayo kutawezesha kupata nafuu ya makali ya upungufu wa umeme na ndani ya miezi sita kuhakikisha tunaondokana na kadhia hii ya upungufu wa umeme.

Vilevile, Shirika linaendelea kukamilisha utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere litakalokuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 2115 ambao mpaka sasa umefikia asilimia 92. Pindi mradi huu utakapokamilika na kuingizwa kwenye gridi ya taifa utachangia kuimarika kwa hali ya umeme nchini kwa kiasi kikubwa.

Shirika linawashukuru wateja wake na kuwa omba kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mpito na kwamba shirika litaendelea kutoa taarifa za upatikanaji wa umeme kwa kadri hali itavyozidi kuimarika. Taarifa hizi zitatolewa kupitia vyombo vya habari mbalimbali, mitandao yetu ya kijamii, tovuti rasmi ya Shirika na Ofisi zetu zilizopo katika Mikoa na Wilaya nchini.

Imetolewa Na;
OFISI YA KURUGENZI MTENDAJI TANESCO- MAKAO MAKUU. DODOMA
 
Hizo ni habari njema kwa kujiwekea malengo hata hivyo tunategemea, mvua zikikatika mwakani mwezi wa nane/ tisa na kuendelea hakutakuwa na visingizio.....
 
Sasa hapo kosa la beans ni nini, maana by March hata beans angekuwa ofisini mgao ungeisha tu automatically
 
Mtu ukiwa na uwezo ni bora kuwa na umeme mbadala tu...
 
Count down aliyopewa na Rais... Miezi 6.

Kila lakheri Mkurugenzi Tanesco.

-Kaveli-
 
Sasa hapo kosa la beans ni nini, maana by March hata beans angekuwa ofisini mgao ungeisha tu automatically

Sasa kama angeachwa ungeonaje kama mama ameguswa na mgao mkuu ☺️
 
Hivi ile gas iliyojaa kuliko maelezo na uwezo wa kuzalisha maelfu ya MW, kwanini bado tuna mgawo wa umeme au kwanini bado tunategemea mvua au bwawa likamilike? kuna kitu hakiko sawa na wahusika hawataki kuongelea, kinachoendelea ni matokeo ya rushwa na wizi, kwa gas tuliyo nayo kulikuwa hakuna haja ya kujenga lile bwawa ila washenzi wa CCM walichofanya wanajua, nchi zote zilizoendelea wanatumia gas kuendesha grid zao za Taifa na wanaagiza gas, sisi gas tunayo na hatuna umeme, umaskini wa kujitakia tuu
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga ametambulishwa mbele ya waandishi wa Habari leo Septemba 27, 2023 na kuelezea kuhusu mipango ya shirika hilo na kugusia kuhusu changamoto ya umeme.

Kuhusu changamoto ya umeme Nchini, amesema “Tunatarajia hadi kufikia mwishoni mwa Machi 2024 tatizo hilo litakuwa limekwisha kwa kuwa tunatarajiwa kuwa tumekamilisha matengenezo yanayoendelea ya mitambo pamoja na visima vinavyotoa gesi asilia.

“Tunayo matarajio kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere litakapoanza kuzalisha umeme matataizo haya yatakuwa yamekwisha kabisa.”

Amesema Shirika linaendelea kukamilisha utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere litakalokuwa na uwezo wa kuzalisha Megawati 2115 ambao mpaka sasa umefikia 92%.

Ameeleza pindi mradi huu utakapokamilika na kuingizwa kwenye gridi ya Taifa utachangia kuimarika kwa hali ya umeme nchini kwa kiasi kikubwa

============= ===============


TAARIFA KAMILI YA TANESCO KUHUSU UPUNGUFU WA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linautaarifu umma kuhusu changamoto ya upungufu wa umeme katika vituo vyetu vya uzalishaji umeme nchini. Upungufu huo unachangiwa na ongezeko la mahitaji ya umeme kutokana na kukua kwa shughuli za kiuchumi, upungufu wa maji kwenye vituo vya kufua umeme unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi, pamoja na matengenezo yanaoendelea kwenye visima vya gesi asilia na mitambo ya kuzalisha umeme kwa gesi asilia. Kufuatia hali hiyo, baadhi ya maeneo nchini yamekua yanakosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti.

Shirika limepokea na tayari limeanza kutekeleza maagizo yaliotolewa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Nishati na tayari jitihada mahususi za ukelazaji za kukabiliana na changamoto hii zimeanza, kwa kuharakisha matengenezo ya mitambo ya kuzalisha umeme na matengenezo ya visima vya gesi asilia kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).

Ni matarajio yetu kuwa ndani ya mwezi oktoba kukamilika kwa matengenezo hayo kutawezesha kupata nafuu ya makali ya upungufu wa umeme na ndani ya miezi sita kuhakikisha tunaondokana na kadhia hii ya upungufu wa umeme.

Vilevile, Shirika linaendelea kukamilisha utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere litakalokuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 2115 ambao mpaka sasa umefikia asilimia 92. Pindi mradi huu utakapokamilika na kuingizwa kwenye gridi ya taifa utachangia kuimarika kwa hali ya umeme nchini kwa kiasi kikubwa.

Shirika linawashukuru wateja wake na kuwa omba kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mpito na kwamba shirika litaendelea kutoa taarifa za upatikanaji wa umeme kwa kadri hali itavyozidi kuimarika. Taarifa hizi zitatolewa kupitia vyombo vya habari mbalimbali, mitandao yetu ya kijamii, tovuti rasmi ya Shirika na Ofisi zetu zilizopo katika Mikoa na Wilaya nchini.

Imetolewa Na;
OFISI YA KURUGENZI MTENDAJI TANESCO- MAKAO MAKUU. DODOMA
Takataka tupu wala hakuna ukweli. Story za miaka yote. A failed president of the century
 
Naomba aliesoma huu usia aniambie kama huyo the big boss amezitaja hizo motochanga??
 
Huyu boss mpya alipaswa aingie kwanza ofisini afanye tathmini then aje na majibu itamchukua muda gani ku sort tatizo na sio kutembelea utabiri wa Mh. Rais, if it's gonna take less tha six months that's okey atakuwa ame surpass, but what if it's going to be more than that!
 
La muhimu ni kuwa na mipango ya muda mrefu. Hapana shaka kukamilika kwa mradi wa bwawa la Rufiji kutaleta nafuu katika upatikanaji wa umeme.
Ila tusijisahau na kudhani tatizo la umeme litakuwa limemalizika. Mahitaji ya umeme yanaendelea kuongezeka. Hivyo ni lazima tuwe na maono endelevu na kuendelea kuongeza uzalishaji wa umeme. Tusisubiri mpaka umeme unaozalishwa uwe hautoshi ndiyo tuanze kuhangaika na kutafuta suluhu.
 
Huyu boss mpya alipaswa aingie kwanza ofisini afanye tathmini then aje na majibu itamchukua muda gani ku sort tatizo na sio kutembelea utabiri wa Mh. Rais, if it's gonna take less tha six months that's okey atakuwa ame surpass, but what if it's going to be more than that!
Bahati mbaya wataalamu wanaburuzwa na wanasiasa na kujikuta wanatoa ahadi zisizo tekelezeka.
Rejea miradi ya BRT, SGR na bwawa la umeme la Rufiji.
 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga ametambulishwa mbele ya waandishi wa Habari leo Septemba 27, 2023 na kuelezea kuhusu mipango ya shirika hilo na kugusia kuhusu changamoto ya umeme.

Kuhusu changamoto ya umeme Nchini, amesema “Tunatarajia hadi kufikia mwishoni mwa Machi 2024 tatizo hilo litakuwa limekwisha kwa kuwa tunatarajiwa kuwa tumekamilisha matengenezo yanayoendelea ya mitambo pamoja na visima vinavyotoa gesi asilia.

“Tunayo matarajio kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere litakapoanza kuzalisha umeme matataizo haya yatakuwa yamekwisha kabisa.”

Amesema Shirika linaendelea kukamilisha utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere litakalokuwa na uwezo wa kuzalisha Megawati 2115 ambao mpaka sasa umefikia 92%.

Ameeleza pindi mradi huu utakapokamilika na kuingizwa kwenye gridi ya Taifa utachangia kuimarika kwa hali ya umeme nchini kwa kiasi kikubwa

============= ===============


TAARIFA KAMILI YA TANESCO KUHUSU UPUNGUFU WA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linautaarifu umma kuhusu changamoto ya upungufu wa umeme katika vituo vyetu vya uzalishaji umeme nchini. Upungufu huo unachangiwa na ongezeko la mahitaji ya umeme kutokana na kukua kwa shughuli za kiuchumi, upungufu wa maji kwenye vituo vya kufua umeme unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi, pamoja na matengenezo yanaoendelea kwenye visima vya gesi asilia na mitambo ya kuzalisha umeme kwa gesi asilia. Kufuatia hali hiyo, baadhi ya maeneo nchini yamekua yanakosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti.

Shirika limepokea na tayari limeanza kutekeleza maagizo yaliotolewa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Nishati na tayari jitihada mahususi za ukelazaji za kukabiliana na changamoto hii zimeanza, kwa kuharakisha matengenezo ya mitambo ya kuzalisha umeme na matengenezo ya visima vya gesi asilia kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).

Ni matarajio yetu kuwa ndani ya mwezi oktoba kukamilika kwa matengenezo hayo kutawezesha kupata nafuu ya makali ya upungufu wa umeme na ndani ya miezi sita kuhakikisha tunaondokana na kadhia hii ya upungufu wa umeme.

Vilevile, Shirika linaendelea kukamilisha utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere litakalokuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 2115 ambao mpaka sasa umefikia asilimia 92. Pindi mradi huu utakapokamilika na kuingizwa kwenye gridi ya taifa utachangia kuimarika kwa hali ya umeme nchini kwa kiasi kikubwa.

Shirika linawashukuru wateja wake na kuwa omba kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mpito na kwamba shirika litaendelea kutoa taarifa za upatikanaji wa umeme kwa kadri hali itavyozidi kuimarika. Taarifa hizi zitatolewa kupitia vyombo vya habari mbalimbali, mitandao yetu ya kijamii, tovuti rasmi ya Shirika na Ofisi zetu zilizopo katika Mikoa na Wilaya nchini.

Imetolewa Na;
OFISI YA KURUGENZI MTENDAJI TANESCO- MAKAO MAKUU. DODOMA
Kwani hata ikifika huo muda na tatizo bado halijaisha kwani sisi wananchi tutawafanya nini? Nyie wafanyeni mnavyotaka hatuna cha kuwafanya wala hakuna sababu za kutoa ahadi
 
IMG-20230929-WA0002.jpg


Haraka mpaka kwenye hoja,

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Isima Nyamhanga amesema mgao wa umeme utaisha mwisho wa mwezi wa tatu kutokana na jitihada za kukamilisha na kurekebisha kwa haraka baadhi ya vyanzo vya umeme vitakavyosaidia kuongeza upatikanaji wake.

Ametoa taarifa hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mikakati ya kuongeza hali ya upatikanaji wa umeme ambapo kwa sasa matumizi ya umeme yameongezeka kwa 12% hivyo kupelekea kuongezeka kwa changamoto.

“Mikakati yetu ni kukamilisha matengenezo katika baadhi ya vituo vyetu Vya uzalishaji vyenye changamoto ambavyo vilipelekea upungufu wa uzalishaji Megawatt 400”

Aidha Nyamhanga anasema wamejiandaa kupunguza megawatt 100 kila mwezi.

#MAMAHAKAMATIKI
 
Back
Top Bottom