Bosi Ruge una akili sana, nakushauri ujiepushe na mabifu usije kuuawa tukaikosa akili yako

Bosi Ruge una akili sana, nakushauri ujiepushe na mabifu usije kuuawa tukaikosa akili yako

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau binafsi namkubali sana ruge hasa akili yake kibiashara ana mchango mkubwa sana kwenye sanaa yetu, maana yeye ndie kafanya hata kina jay z, 5o cent, ja rule wameijua Tanzania iko wapi.

kwa miaka mingi sana analalamikiwa na wasanii tofauti kuanzia kina sugu, Ladyjaydee, Ruby, Diamond, Vinega, Prof jay kwamba hatendi haki

Brother Ruge kama unasoma humu najua wewe ni msomi tena wa vyuo vya ukweli majuu na una exposure kubwa na mziki una passion nao maana bosi wa levo zako kushinda THT unaandikia watoto nyimbo ni zaidi ya passion.

Nakushauri tu achana na watoto wadogo usiwajibu chochote, na hata mambo ya nani nyimbo ipigwe nani isipigwe achana nayo hayo mambo piga kazi zako tu kawaida.

Maana sasa hivi imefika kipindi hata msaniii akiimba vibaya jukwaani kisa amelewa unaaambiwa tatizo Ruge alimzimia maiki mambo ya kina Ali Kiba, Ruby, Diamond achana nayo simamisha THT iwe brand kubwa

Si umeona hata zamaradi alikurekodi na kuvujisha hiyo ndio shida ya watoto wadogo kudili nao sana mambo ya zamaradi na mume wake shilawadu yanafata nini Semina zako za fursa ziongeze maujazo watanzania wakombolewe maana mwisho wa chuki unakuwaga si mzuri.

Sitaki kusikia bosi ruge umemwagiwa tindi kali kama bosi wa home shopping au umepigwa risasi na sababu una bifu na wengi hata polisi watapata shida kujua nani anahusika maana tutawaza labda sugu, wengine labda lady jaydee, wengine labda diamond, wengine labda vinega, wengine labda zamaradi na mume wake, wengine labda baby mamas wake

Bosi Ruge mtu poa sana kama unabisha omba nafasi uonane nae upige nae hata story atakushauri mambo mengi sana huyu ni hazina kwa taifa sema tu anadili na vitoto vinamharibia kwa jamiii
 
Habari wadau binafsi namkubali sana ruge hasa akili yake kibiashara ana mchango mkubwa sana kwenye sanaa yetu, maana yeye ndie kafanya hata kina jay z, 5o cent, ja rule wameijua Tanzania iko wapi.

kwa miaka mingi sana analalamikiwa na wasanii tofauti kuanzia kina sugu, Ladyjaydee, Ruby, Diamond, Vinega, Prof jay kwamba hatendi haki

Brother Ruge kama unasoma humu najua wewe ni msomi tena wa vyuo vya ukweli majuu na una exposure kubwa na mziki una passion nao maana bosi wa levo zako kushinda THT unaandikia watoto nyimbo ni zaidi ya passion.

Nakushauri tu achana na watoto wadogo usiwajibu chochote, na hata mambo ya nani nyimbo ipigwe nani isipigwe achana nayo hayo mambo piga kazi zako tu kawaida.

Maana sasa hivi imefika kipindi hata msaniii akiimba vibaya jukwaani kisa amelewa unaaambiwa tatizo Ruge alimzimia maiki mambo ya kina Ali Kiba, Ruby, Diamond achana nayo simamisha THT iwe brand kubwa

Si umeona hata zamaradi alikurekodi na kuvujisha hiyo ndio shida ya watoto wadogo kudili nao sana mambo ya zamaradi na mume wake shilawadu yanafata nini Semina zako za fursa ziongeze maujazo watanzania wakombolewe maana mwisho wa chuki unakuwaga si mzuri.

Sitaki kusikia bosi ruge umemwagiwa tindi kali kama bosi wa home shopping au umepigwa risasi na sababu una bifu na wengi hata polisi watapata shida kujua nani anahusika maana tutawaza labda sugu, wengine labda lady jaydee, wengine labda diamond, wengine labda vinega, wengine labda zamaradi na mume wake, wengine labda baby mamas wake

Bosi Ruge mtu poa sana kama unabisha omba nafasi uonane nae upige nae hata story atakushauri mambo mengi sana huyu ni hazina kwa taifa sema tu anadili na vitoto vinamharibia kwa jamiii
Sawa mjumbe wa islael mtoa roho.
 
Back
Top Bottom