Bosi wa bahari barbershop nakufikishia haya malalamiko

Bosi wa bahari barbershop nakufikishia haya malalamiko

Status
Not open for further replies.

Zombie S2KIZZY

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
826
Reaction score
1,622
Bosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko,

Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta sometimes naogopa kuja kunyolewa hapo sababu yakuombwa hela na hao vinyozi,ni tabia inayonikera Sana.

Bei ya kunyoa ni elfu kumi nalipia pale kwa accountant naondoka naenda kwenye gari langu nataka kuondoka kinyozi ananifata kwenye gari ananiomba Tena hela, yaani nilipe Mara mbili kwel hii sio sawa mzee wanatufukuza wateja.

Halafu hii sio Mara moja ni Mara nyingi wanaomba omba yaan wanapeana zamu siku nyingine yule midevu mwenye kitambi siku nyingine yule bwana mwenye mawani ,nimechoshwa na tabia zao.

Kwani unawalipaje mshahara ndogo? Au huwalipi?

Najua upo humu JamiiForums naomba ulirekebishe hili.
 
Sawa Zombi nimekusikia. Nitalifanyia kazi. Ila yupi Uwa anaomba sana Hela kati ya hawa wawili nimtimue kesho?
View attachment 2766703

Karibuni wateja wangu hapa Boko, Bahari Barbershop 💈 Kiboko yao.

View attachment 2766705
Kuna jamaa anavaa mawani ya macho kunasiku alinifata kwenye gari na alikua ananuka pombe akaanza kuniomba hela na Kuna mwingine anamidevu mnene anakitambi ,
Tafadhali lirekebishe hilo waache hiyo tabia.
 
Bosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko ,
Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi Huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta sometimes naogopa kuja kunyolewa hapo sababu yakuombwa hela na hao vinyozi,ni tabia inayonikera Sana .
Bei ya kunyoa ni elfu kumi nalipia pale kwa accountant naondoka naenda kwenye gari langu nataka kuondoka kinyozi ananifata kwenye gari ananiomba Tena hela ,yaan nilipe Mara mbili kwel hii sio sawa mzee wanatufukuza wateja ,
Alafu hii sio Mara moja ni Mara nyingi wanaomba omba yaan wanapeana zamu siku nyingine yule midevu mwenye kitambi siku nyingine yule bwana mwenye mawani ,nimechoshwa na tabia zao
Kwani unawalipaje mshahara ndogo? au huwalipi ?
Najua upo humu JamiiForums naomba ulirekebishe hili.
Mbona yule dada mwenye kichuguu anaekutekenya masikioni na mabegani ulimwomba namba na unampatia hela kila ukija ila hulalamiki?
 
Kwanini akukimbilie ukiwa unaelekea kwenye gari yako? Why asiombee saloon

Anyways kama amekunyoa vizuri si mbaya kumpea tip jamani
Tunapenda kutoa tips kwa wasichana wakituosha nywele huku tunawasahau walioshika nywele hadi zenye ukurutu..
Wanaume Mungu aturehemu tu.

Dulla nafikiri huwa ukininyoa huwa sikunyimi tips mzee.
 
Tunapenda kutoa tips kwa wasichana wakituosha nywele huku tunawasahau walioshika nywele hadi zenye ukurutu..
Wanaume Mungu aturehemu tu.

Dulla nafikiri huwa ukininyoa huwa sikunyimi tips mzee.
Mimi kinyoz wangu lzma apate hizo tips maake ananyoa fresh.... Ila kuanika nako busness za watu sio fresh watakosa kibarua[emoji21]
 
Mimi kinyoz wangu lzma apate hizo tips maake ananyoa fresh.... Ila kuanika nako busness za watu sio fresh watakosa kibarua[emoji21]
Hatufanani mkuu.
Vinyozi wana hali ngumu, ukimpa 2k tu anafurahi, kulalamikia kitu cha hiyari kwangu naona si sahihi.

Lakini pia sishangai, kuna watu huwa hawatokwi hata mia yani hii hata kwa wazungu ipo, wapo wazungu bahili mnoo hata tips hawatoi
 
Tunapenda kutoa tips kwa wasichana wakituosha nywele huku tunawasahau walioshika nywele hadi zenye ukurutu..
Wanaume Mungu aturehemu tu.

Dulla nafikiri huwa ukininyoa huwa sikunyimi tips mzee.
Tips tunatoa mkuu Ila siku usipokuwa nayo jamaa anakufata kwenye gari Mimi hicho ndio sipendi
 
KAma ulimkatalia huna haja ya kumshitakia, maisha ya bongo unayajua, waajiri wanalipa kidogo sana.

Ukishiba umkumbuke mwenye njaa kaka.
Najua ukishiba kuvaa kiatu cha mwenye njaa ni ngumu sana
Sio Mara moja ni Kila mara nikienda pale kama sina hela tip ndio hicho kinachotokea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom