kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Kiukweli nimeumia. Ukiona mwanaume anakuomba hela mpe bro hata kama huna tumia tu diplomasia kumjibu mzee. Hukuwa na haja kutangaza shida ya mtu hadharan. Nakumbuka cku moja nimetoka China pale airport nikiwa naelekea kwenye gar tulikuwa kama watatu alikuja polis mtu mzima kidogo. Akatuomba hela. Na ninakumbuka maneno yake mpaka leo. Wadogo zangu polen na safari naomba kama kuna hela yoyote imebaki mnipe kuna wadogo zenu wamerudishwa shule hapa nilipo cna kitu na nimewaahid jion nitawaletea.
Itoshe tu kusema nilimvuta pemben akanieleza shida zake mpaka nikatoa machozi. Wanaume tunapitia moto ni Mungu anajua. Niliomba majina ya watoto wake na shule wanazosoma nilimlipia ada zote nikamtumia results slip . Kama yupo humu atanikumbuka. Ila Mungu ninani hata asinikumbuke mzigo ulivyotoka mzambia aliuchukua wote conteiner zima akalipia benki. Na ndio chanzo cha Mimi kuamin katika kutoa bila kunung'unika.
Itoshe tu kusema nilimvuta pemben akanieleza shida zake mpaka nikatoa machozi. Wanaume tunapitia moto ni Mungu anajua. Niliomba majina ya watoto wake na shule wanazosoma nilimlipia ada zote nikamtumia results slip . Kama yupo humu atanikumbuka. Ila Mungu ninani hata asinikumbuke mzigo ulivyotoka mzambia aliuchukua wote conteiner zima akalipia benki. Na ndio chanzo cha Mimi kuamin katika kutoa bila kunung'unika.