Bosi wa bahari barbershop nakufikishia haya malalamiko

Bosi wa bahari barbershop nakufikishia haya malalamiko

Status
Not open for further replies.
Unafiki wa wabongo ulivyo sasa, ukute kipindi unaombwa, unatoa kwa majigambo yote kumbe unasononekea moyoni.

Ungekataa toka ulipoombwa siku ya kwanza wasingekuomba tena.

Wa Tz tuna ugonjwa mkubwa sana wa kukosa neno HAPANA hata kwa yale tusiotaka kuyafanya.
 
Bosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko,

Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta sometimes naogopa kuja kunyolewa hapo sababu yakuombwa hela na hao vinyozi,ni tabia inayonikera Sana.

Bei ya kunyoa ni elfu kumi nalipia pale kwa accountant naondoka naenda kwenye gari langu nataka kuondoka kinyozi ananifata kwenye gari ananiomba Tena hela, yaani nilipe Mara mbili kwel hii sio sawa mzee wanatufukuza wateja.

Halafu hii sio Mara moja ni Mara nyingi wanaomba omba yaan wanapeana zamu siku nyingine yule midevu mwenye kitambi siku nyingine yule bwana mwenye mawani ,nimechoshwa na tabia zao.

Kwani unawalipaje mshahara ndogo? Au huwalipi?

Najua upo humu JamiiForums naomba ulirekebishe hili.
...Wanakukimbiliaje ? Wanakukimbilia kwamba Umesahau Kulipa Hela ? Au wanakuambia kabisa " Tunaomba chochote '?.... SI Unakataa TU ? Una haja ya Kufungua Uzi humu kwelikuwashitaki ??
 
Saloon zenu za vibopa
Mnaonekana madon laZima
Mpigwe virungu
Mm nmenyoa sana gharama 3000
Saloon haina mbwembwe

Ova
Wewe kama mimi mkuu 😄 sasa narembwa kwanini
Mimi ni neno moja tu #1
 
Mwana unafeli,ukute kwa wadada wanaotuosha unatoa tena bila kuombwa,ukiwa nacho wasitiri wanaume wenzio huo Ndio utu,wewe sijui kama unaweza kunywa bia na washkaji wewe mi mchoyo alafu malaya
AMenisikitisha sana.
 
3000 nayo ni hela ya kumsimangia mtu basi!
 
Bosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko,

Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta sometimes naogopa kuja kunyolewa hapo sababu yakuombwa hela na hao vinyozi,ni tabia inayonikera Sana.

Bei ya kunyoa ni elfu kumi nalipia pale kwa accountant naondoka naenda kwenye gari langu nataka kuondoka kinyozi ananifata kwenye gari ananiomba Tena hela, yaani nilipe Mara mbili kwel hii sio sawa mzee wanatufukuza wateja.

Halafu hii sio Mara moja ni Mara nyingi wanaomba omba yaan wanapeana zamu siku nyingine yule midevu mwenye kitambi siku nyingine yule bwana mwenye mawani ,nimechoshwa na tabia zao.

Kwani unawalipaje mshahara ndogo? Au huwalipi?

Najua upo humu JamiiForums naomba ulirekebishe hili.
Aisee
 
Kwanini akukimbilie ukiwa unaelekea kwenye gari yako? Why asiombee saloon

Anyways kama amekunyoa vizuri si mbaya kumpea tip jamani
Pengine kuna camera za ulinzi, wanaogopa kuombea ndani.
 
Saloon zenu za vibopa
Mnaonekana madon laZima
Mpigwe virungu
Mm nmenyoa sana gharama 3000
Saloon haina mbwembwe

Ova
Hao ndo wale mara wasuguliwe uso... sijui kucha na kutomaswa tomaswa anaacha elf 10 yake hapo....
 
Bosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko,

Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta sometimes naogopa kuja kunyolewa hapo sababu yakuombwa hela na hao vinyozi,ni tabia inayonikera Sana.

Bei ya kunyoa ni elfu kumi nalipia pale kwa accountant naondoka naenda kwenye gari langu nataka kuondoka kinyozi ananifata kwenye gari ananiomba Tena hela, yaani nilipe Mara mbili kwel hii sio sawa mzee wanatufukuza wateja.

Halafu hii sio Mara moja ni Mara nyingi wanaomba omba yaan wanapeana zamu siku nyingine yule midevu mwenye kitambi siku nyingine yule bwana mwenye mawani ,nimechoshwa na tabia zao.

Kwani unawalipaje mshahara ndogo? Au huwalipi?

Najua upo humu JamiiForums naomba ulirekebishe hili.
Vinyozi ombaomba. Majanga.

Hizi tabia za kuombaomba Tanzania zina makabila au ni janga la taifa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom