Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Mie nanyoa Tandale kwa sh.1,500/= tu.Saloon zenu za vibopa
Mnaonekana madon laZima
Mpigwe virungu
Mm nmenyoa sana gharama 3000
Saloon haina mbwembwe
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nanyoa Tandale kwa sh.1,500/= tu.Saloon zenu za vibopa
Mnaonekana madon laZima
Mpigwe virungu
Mm nmenyoa sana gharama 3000
Saloon haina mbwembwe
Ova
Hata kama wameshamjua?Jaribu siku moja usiende na gari uone kama watakufuata
Huenda aina ya gari inawapa hisia fulaniHata kama wameshamjua?
...Wanakukimbiliaje ? Wanakukimbilia kwamba Umesahau Kulipa Hela ? Au wanakuambia kabisa " Tunaomba chochote '?.... SI Unakataa TU ? Una haja ya Kufungua Uzi humu kwelikuwashitaki ??Bosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko,
Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta sometimes naogopa kuja kunyolewa hapo sababu yakuombwa hela na hao vinyozi,ni tabia inayonikera Sana.
Bei ya kunyoa ni elfu kumi nalipia pale kwa accountant naondoka naenda kwenye gari langu nataka kuondoka kinyozi ananifata kwenye gari ananiomba Tena hela, yaani nilipe Mara mbili kwel hii sio sawa mzee wanatufukuza wateja.
Halafu hii sio Mara moja ni Mara nyingi wanaomba omba yaan wanapeana zamu siku nyingine yule midevu mwenye kitambi siku nyingine yule bwana mwenye mawani ,nimechoshwa na tabia zao.
Kwani unawalipaje mshahara ndogo? Au huwalipi?
Najua upo humu JamiiForums naomba ulirekebishe hili.
Wewe kama mimi mkuu 😄 sasa narembwa kwaniniSaloon zenu za vibopa
Mnaonekana madon laZima
Mpigwe virungu
Mm nmenyoa sana gharama 3000
Saloon haina mbwembwe
Ova
AMenisikitisha sana.Mwana unafeli,ukute kwa wadada wanaotuosha unatoa tena bila kuombwa,ukiwa nacho wasitiri wanaume wenzio huo Ndio utu,wewe sijui kama unaweza kunywa bia na washkaji wewe mi mchoyo alafu malaya
AiseeBosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko,
Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta sometimes naogopa kuja kunyolewa hapo sababu yakuombwa hela na hao vinyozi,ni tabia inayonikera Sana.
Bei ya kunyoa ni elfu kumi nalipia pale kwa accountant naondoka naenda kwenye gari langu nataka kuondoka kinyozi ananifata kwenye gari ananiomba Tena hela, yaani nilipe Mara mbili kwel hii sio sawa mzee wanatufukuza wateja.
Halafu hii sio Mara moja ni Mara nyingi wanaomba omba yaan wanapeana zamu siku nyingine yule midevu mwenye kitambi siku nyingine yule bwana mwenye mawani ,nimechoshwa na tabia zao.
Kwani unawalipaje mshahara ndogo? Au huwalipi?
Najua upo humu JamiiForums naomba ulirekebishe hili.
Pengine kuna camera za ulinzi, wanaogopa kuombea ndani.Kwanini akukimbilie ukiwa unaelekea kwenye gari yako? Why asiombee saloon
Anyways kama amekunyoa vizuri si mbaya kumpea tip jamani
Hao ndo wale mara wasuguliwe uso... sijui kucha na kutomaswa tomaswa anaacha elf 10 yake hapo....Saloon zenu za vibopa
Mnaonekana madon laZima
Mpigwe virungu
Mm nmenyoa sana gharama 3000
Saloon haina mbwembwe
Ova
Vinyozi ombaomba. Majanga.Bosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko,
Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta sometimes naogopa kuja kunyolewa hapo sababu yakuombwa hela na hao vinyozi,ni tabia inayonikera Sana.
Bei ya kunyoa ni elfu kumi nalipia pale kwa accountant naondoka naenda kwenye gari langu nataka kuondoka kinyozi ananifata kwenye gari ananiomba Tena hela, yaani nilipe Mara mbili kwel hii sio sawa mzee wanatufukuza wateja.
Halafu hii sio Mara moja ni Mara nyingi wanaomba omba yaan wanapeana zamu siku nyingine yule midevu mwenye kitambi siku nyingine yule bwana mwenye mawani ,nimechoshwa na tabia zao.
Kwani unawalipaje mshahara ndogo? Au huwalipi?
Najua upo humu JamiiForums naomba ulirekebishe hili.