Bosi wa Facebook kaanza mwaka kwa kuingiza matrilioni

Kula like..nimecheka vibaya mno.Huku mpaka unasahau mkeo hahahahaaaaa.Mtu anapaka zile sijui color mara green mara white.Kucha kuleeeee..mapambo haya ya dunia daah.
bado sasa bla bla[emoji23] [emoji23]
akifunguliwa duka la nguo...oh am a Boss, i make money moves" ooh sijui mnaoniponda hamnifikii kwa lolote...hapo mlipo mnatumia tecno mtanifikia wapi"

yani bla bla hapo ndo nachokaga kabisa
 
bado sasa bla bla[emoji23] [emoji23]
akifunguliwa duka la nguo...oh am a Boss, i make money moves" ooh sijui mnaoniponda hamnifikii kwa lolote...hapo mlipo mnatumia tecno mtanifikia wapi"

yani bla bla hapo ndo nachokaga kabisa
Mara nyingi watu wanaojua na waliostaarabika huwa wapo cool saana.Hata kipindi cha shule utaona wanafunzi wanaojua sana wapo wapo tu.Lakini sasa ukute umeotea kihesabu sijui Fisikia ..oooh makelele kibao.Great thinkers mara zote wapo wapo tu,huwa hawalazimishi watu wawajue.Ila Umenichekesha sana ndugu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kazi nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…