Bosi wa Reli, ATCL na TANESCO mnasubiri nini ofisini?

Bosi wa Reli, ATCL na TANESCO mnasubiri nini ofisini?

Hata mimi nitawashangaa sana watakaokuwa kwenye nafasi za upigaji kisha wasipige. Iwapo watu wanafanya hivyo hivyo miaka yote, na hakuna hatua yoyote ya maana wanachukuliwa, huku wananchi wakiishia kupiga kelele mitandaoni, yaani uache upigaji ili iweje labda?
Nchi ya wajinga hii mkuu ndio maana watu wanajipigia tu.
 
sasa kutoka Bil 600 to Tril 1.1..
Huku dola mil 36 to dola mil 86.

Hizo zote watu wamepiga, halafu kuna mtu anasema nchi masikini hii na yule aliyesema nchi tajiri hii tukamuona mjinga..

Hizo hela unajenga madarasa mangapi, unasomesha bure watoto wangapi..
Jamani jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji849][emoji849] bilion 86 hazijaliwa,
Waliletewa invoice ili zilipwe ndo kama kula wangekula baada ya kulipwa
 
Ripoti za CAG na TAKUKURU zilizowasilishwa mbele ya Rais Mapema leo Machi 29, 2023 zimeonyesha ufisadi mkubwa katika Mashirika Makubwa ya TRC, ATCL na TANESCO, Mhe Rais amesema waondoke swali je mnasubiri nini?

ATCL
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji” Rais Samia.

TANESCO
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Salum Hamduni amesema Takukuru ilidhibiti hasara ya Sh81.99 bilioni ambayo Serikali ingepata kutokana na Shirika la Umeme Tanesco kutozingatia masharti ya mkataba baina yao na Kampuni ya Pan-African Energy Tanzania (PAET).

TRC
TRC ILIMKATAA MZABUNI WA TSH BILIONI 616.4 NA KUMPA WA TSH. TRILIONI 1.119 BILA SABABU ZA MSINGI

Akiwasilisha Ripoti ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo mbele ya Rais Samia, Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema uamuzi huo ulisababisha ongezeko la matumizi ya Tsh. Bilioni 503.2 (82%) lisilokuwa na ulazima

Pia, katika ununuzi wa 'Locomotives' na Makochi ya Abiria, Shirika la Reli (TRC) lilitekeleza Mkataba bila dhamana ya Utendaji na kusababisha hasara ya Tsh. Bilioni 13.7 kutokana na Mkandarasi kushindwa kutimiza Masharti ya Mkataba

Aidha, CAG Kichere amesema Ukaguzi wake umebaini uwepo wa Manunuzi yenye Gharama Kubwa, Upotevu wa Fedha na Majadiliano ya Mikataba Yasiyolinda Maslahi ya Taifa na kusababisha kutofikiwa kwa Malengo yaliyokusudiwa
Bosi wa TRC Masanja Kadogosa ni Msukuma na lazima aliwe kichwa
 
Kama hakuna kibaya kilicho tokea unataka wafukuzwe Kwa sababu gani?
Kitambo watu walikua wanakuheshim bt now days umekua wa hovyo hovyo...sometime kukaa kimya kunaweza kukusaidia ku reserve ka heshima kadogo uliko bakiza...
1. Mahakamani watu wanafikishwa kwa tuhuma za kua na nia ya kutenda kosa sio lazima utende kosa as long as ushahidi upo...
2.Mama anataka walio inflate price za ndege watupishe though hawajatuibia bado bt they were abt to, hao wa Tanesco kesi yao ina tofauti gani na hii?
 
Ripoti za CAG na TAKUKURU zilizowasilishwa mbele ya Rais Mapema leo Machi 29, 2023 zimeonyesha ufisadi mkubwa katika Mashirika Makubwa ya TRC, ATCL na TANESCO, Mhe Rais amesema waondoke swali je mnasubiri nini?

ATCL
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji” Rais Samia.

TANESCO
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Salum Hamduni amesema Takukuru ilidhibiti hasara ya Sh81.99 bilioni ambayo Serikali ingepata kutokana na Shirika la Umeme Tanesco kutozingatia masharti ya mkataba baina yao na Kampuni ya Pan-African Energy Tanzania (PAET).

TRC
TRC ILIMKATAA MZABUNI WA TSH BILIONI 616.4 NA KUMPA WA TSH. TRILIONI 1.119 BILA SABABU ZA MSINGI

Akiwasilisha Ripoti ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo mbele ya Rais Samia, Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema uamuzi huo ulisababisha ongezeko la matumizi ya Tsh. Bilioni 503.2 (82%) lisilokuwa na ulazima

Pia, katika ununuzi wa 'Locomotives' na Makochi ya Abiria, Shirika la Reli (TRC) lilitekeleza Mkataba bila dhamana ya Utendaji na kusababisha hasara ya Tsh. Bilioni 13.7 kutokana na Mkandarasi kushindwa kutimiza Masharti ya Mkataba

Aidha, CAG Kichere amesema Ukaguzi wake umebaini uwepo wa Manunuzi yenye Gharama Kubwa, Upotevu wa Fedha na Majadiliano ya Mikataba Yasiyolinda Maslahi ya Taifa na kusababisha kutofikiwa kwa Malengo yaliyokusudiwa
Wanakusikia kwa kenge hao
 
Malori, mabus yanaingia kwa wingi sana hivi sasa.
Vituo vya mafuta vinaota kama uyoga hivi sasa, all the way to Bukoba, Mwanza and Kigoma.

Efficiency ya SGR maana yake ni hatari kwa biashara ya malori, mabus na mafuta.

TUKIFANYA MASIKHARA BILA KUTUMIA UTEMI NA UKATIRI, BASI HATA HII SGR INAWEZA ISIISHE NA HATA IKIISHA INAWEZA ISIWE EFFICIENTY.
 
Ripoti za CAG na TAKUKURU zilizowasilishwa mbele ya Rais Mapema leo Machi 29, 2023 zimeonyesha ufisadi mkubwa katika Mashirika Makubwa ya TRC, ATCL na TANESCO, Mhe Rais amesema waondoke swali je mnasubiri nini?

ATCL
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji” Rais Samia.

TANESCO
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Salum Hamduni amesema Takukuru ilidhibiti hasara ya Sh81.99 bilioni ambayo Serikali ingepata kutokana na Shirika la Umeme Tanesco kutozingatia masharti ya mkataba baina yao na Kampuni ya Pan-African Energy Tanzania (PAET).

TRC
TRC ILIMKATAA MZABUNI WA TSH BILIONI 616.4 NA KUMPA WA TSH. TRILIONI 1.119 BILA SABABU ZA MSINGI

Akiwasilisha Ripoti ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo mbele ya Rais Samia, Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema uamuzi huo ulisababisha ongezeko la matumizi ya Tsh. Bilioni 503.2 (82%) lisilokuwa na ulazima

Pia, katika ununuzi wa 'Locomotives' na Makochi ya Abiria, Shirika la Reli (TRC) lilitekeleza Mkataba bila dhamana ya Utendaji na kusababisha hasara ya Tsh. Bilioni 13.7 kutokana na Mkandarasi kushindwa kutimiza Masharti ya Mkataba

Aidha, CAG Kichere amesema Ukaguzi wake umebaini uwepo wa Manunuzi yenye Gharama Kubwa, Upotevu wa Fedha na Majadiliano ya Mikataba Yasiyolinda Maslahi ya Taifa na kusababisha kutofikiwa kwa Malengo yaliyokusudiwa

FsZVMM0WAAIYKQz.jpeg
 
Ukimkuta mwizi anaiba kwako ukamzuia, inamuondolea yeye kuwa mwizi
Ni ujinga Tu na wataendelea kulindana, nchi hii wapuuzi wengi mno. Mwizi atamchekea huyo ili wakati mwingine amuibie vizuri shida mwenye mamlaka taarabu nyingi baada ya vitendo. Nyani anaocheka nao Leo , kesho atakuja kulia huku akishika tama.
 
Kitambo watu walikua wanakuheshim bt now days umekua wa hovyo hovyo...sometime kukaa kimya kunaweza kukusaidia ku reserve ka heshima kadogo uliko bakiza...
1. Mahakamani watu wanafikishwa kwa tuhuma za kua na nia ya kutenda kosa sio lazima utende kosa as long as ushahidi upo...
2.Mama anataka walio inflate price za ndege watupishe though hawajatuibia bado bt they were abt to, hao wa Tanesco kesi yao ina tofauti gani na hii?
Boss kawa takataka siku zote labda mlikuwa hamumuelewi tu naona yeye ni chawa wa mtoto wa mlamba asali
 
Hiyo ya TRC ngoja tupate maelezo ya upande wao. Wale wenye uzoefu na tenda za serikalini wanafahamu kuwa cheap ain't always the best opinion. Unaweza kuletewa vitu vya ajabu japo vina meet all specifications. Yanakuwa kama yale mabehewa ya orange waliyoleta wakati ule [emoji1787].
Ndio maana wameongea hapo wamempa tenda mwenye bei ya juu bila sababu za msingi.
 
Malori, mabus yanaingia kwa wingi sana hivi sasa.
Vituo vya mafuta vinaota kama uyoga hivi sasa, all the way to Bukoba, Mwanza and Kigoma.

Efficiency ya SGR maana yake ni hatari kwa biashara ya malori, mabus na mafuta.

TUKIFANYA MASIKHARA BILA KUTUMIA UTEMI NA UKATIRI, BASI HATA HII SGR INAWEZA ISIISHE NA HATA IKIISHA INAWEZA ISIWE EFFICIENTY.
Bila kusahau mavhorofa mapya kariakoo yani watu kuna kuna trend ya kuvunja maghorofa na kujenga mapya kariakoo kuna mtu alianzisha uzi kuhusu hili.
 
Back
Top Bottom