Bosi wangu wa kike ananitaka, nifanyeje?

wote wanao kwambia mega ni wazinzi, achana na uzinzi muombe mungu atamwaibisha shetani,kibarua huwa hakiaribiki kwa kukataa ngono,tena naamini ukikataa ndo atakuheshimu,ila ukikubali kibarua kipo hatarini mifano ipo mingi kwa akina mama waliogawa matokeo yake ni mbaya,jiheshimu uheshimiwe
 
Haya maswali ndio yananishangazaga kila siku,na hii inaonekana watu mnaenda against nature,we umeshaona wapi dume kukataa jike,si ni kiumbe jike ndio kaumbwa kukataa?Sasa kama na madume siku hizi wameanza kukataa basi very soon human race will be an endangered specie.
 
kula mzigo ili uyafikie malengo ya milenia +mkukuta na mdog wake mkurabita fasta
 
Dogo ogopa unaelekea kubaya, bora upoteze hiyo job, god will provide. Look at JOSEPH AND POTIPHARS'S WIFE in the bible
Genesis: 39:1-23. Joseph was immensely blessed after avaiding this temptation. Be Blessed.
 

Labda na yeye tayari ameishakuwa endangered specie
 
Huyo kibosile hakutakii mema na hata ikibidi kazi achana nayo Mwenyezi Mungu atakufungulia ulaji mwingine............ukimruhusu tu umekwisha hapo......................atakuwa anakuendesha puta kwa sababu yeye kakamata mpini wewe umekamata makali....akivuta mpini vidole vyako vitazagaa ardhini......shauri yako..........................na hao watu huwa na wivu sana.....aweza kukutoa roho...............
 
Kwani ofc za Mzee Hosea huzijui.....? hahahhaha kama vipi mpotezeyee mazima
 
Kwani ofc za Mzee Hosea huzijui.....? hahahhaha kama vipi mpotezeyee mazima

Hosea atawachakachua wahusika wote wawili afadhali alimalize yeye mwenyewe....................
 

mkuu hapo pagumu sisi kukushauri manake inategemea;

kama umeoa/kuolewa ni vizuri ukaiheshimu ndoa yako
kama bado msela kama Rev masanilo unaweza kumega kisela
ila inabidi ujue marital status ya bosi wako
kama bosi nae ana ndoa usijaribu kaka mke/mume wa mtu sumu!!:nono:
 

kwani kujiunga nov.2010,rply 0,post 0 ..... inakuhu!
 
mimi thijui ! aah... lakini kwa hili be veri careful.... coz in both sides if you are not careful enough there may be something u'll regret
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…