wote wanao kwambia mega ni wazinzi, achana na uzinzi muombe mungu atamwaibisha shetani,kibarua huwa hakiaribiki kwa kukataa ngono,tena naamini ukikataa ndo atakuheshimu,ila ukikubali kibarua kipo hatarini mifano ipo mingi kwa akina mama waliogawa matokeo yake ni mbaya,jiheshimu uheshimiwe