Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,133
msinyimane
Haya maopochunite mbona mi hayanikuti?
piga game tu kwa kulinda maslahi ya kazi yako lakini usizoee sana kwa sababu utapotea...lakini eat it menn!!
Huna mvuto wala bahati kaoge singidani kwenye bwawa la maji ya chumvi
Jilengeshe akubake umshtaki uvute MPUNGA saafi
Jilengeshe akubake umshtaki uvute MPUNGA saafi
piga game tu kwa kulinda maslahi ya kazi yako lakini usizoee sana kwa sababu utapotea...lakini eat it menn!!
wana jf, niko katika wakati mgumu. Bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. Sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. Mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
ndo manake na mimi nilitaka kusema hivo hivo ...
Wewe nenda ila usisahau condom!tena mpe game ya uhakika umlie vzur!