Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,133
Mega haina sumu hiyo...hata hivyo make sure ndomu zinatawala ila mara nyingi watu kama hao mie nawazamisha kwenye scaner kwa uhakika zaidi maana zile silaha za maangamizi alokuwa anazitafuta the BUSH Iraq inawezekana huyo boss ndo anazo so kama vipi mscan kwanza..