Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
Mkuu wa kitengo ,boss ,msimamizi katika eneo fulani,nk. Anaamua kuleta vyakula vyake na kupikwa na watu wake huko anaowajua ndani ya eneo la kazi na kupakuliwa huko huko.
Nakulazimisha watu wale tena kwa kutuma watu wachunguze kama umekula usipo kula unaitishiwa kikao na jopo la watu kwann hutaki kula eti huna ushirikiano.
Ushirikiano kwenye kula tu jaman sijawahi ona hii mtu aki ng'ang'aniziwa chakula lazima antena ya ubongo ishtuke CHakula cha namna hii kina usalama wandugu?
Nakulazimisha watu wale tena kwa kutuma watu wachunguze kama umekula usipo kula unaitishiwa kikao na jopo la watu kwann hutaki kula eti huna ushirikiano.
Ushirikiano kwenye kula tu jaman sijawahi ona hii mtu aki ng'ang'aniziwa chakula lazima antena ya ubongo ishtuke CHakula cha namna hii kina usalama wandugu?