Balozi wetu kule China na wauza wa Unga Lao mojaaa,, hata hivyo nilijaribu kumpigia simu rfk wa karbu nikamhuliza vip Jack ameachiwa akaniambia Hapana hajui lolote nasubir badae nimpigie teena Anipe Ukwelii,, mimi mwenyewe nimeshangaa Instagram ka post pcha