Mkare
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 504
- 79
Nilikuwa naperuzi mtandao wa instagram dakika sifuri iliyopita na kukutana na picha mpya ya boss lady Jackie Cliff. ..
Sada najiuliza tu sijui jela ana access ya simu au ametoka. Au labda mtu wake wa karibu anajua password yake so kamtuma arushe hyo pic. Au wamesha-hack account yake. Bado sijapata jibu... mwenye taarifa zaidi atujuze
Sada najiuliza tu sijui jela ana access ya simu au ametoka. Au labda mtu wake wa karibu anajua password yake so kamtuma arushe hyo pic. Au wamesha-hack account yake. Bado sijapata jibu... mwenye taarifa zaidi atujuze