Boss Saalah wa Silent Ocean, wana Simba SC tunajua mchanganuo wa ahadi yako ya milioni 30 kama Tanzania Prisons ikiifunga Simba SC Ijumaa

Boss Saalah wa Silent Ocean, wana Simba SC tunajua mchanganuo wa ahadi yako ya milioni 30 kama Tanzania Prisons ikiifunga Simba SC Ijumaa

Kwahiyo unataka kusema ile mechi amabazo Prisons waliahidiwa mil 10 endapo ingetoka sare na Yanga, wangetoa sare wasingepewa hizo milioni 10?
Huyo Silent Ocean ni tapeli tu kama walivyo GSM, adui yao ni Simba SC, wao kutoa pesa kwa timu nyingine ili Yanga afungwe ni usanii tu, wameona aibu ya mchezo wao kushtukiwa sasa wanajikweza tu.
 
Sasa ikawaje wewe hata hukupendekezwa kupigiwa kura? Acha wivu mama mdogo
Waambie Natural Charm yangu na Mimi Kiasili kuwa this Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kutawatesa sana tu.

Waambie GENTAMYCINE nawaomba Members wote Wanaonichukia hapa wauombe Uongozi wa JamiiForums watushindanishe katika Shindano lolote lile na nawahakikishia NItashinda na hawatoamini.

Najua Mungu kanibariki na vingi mno.

Cc: Unavoidable Servant
 
Boss Saalah Said Mohammed Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean na Mdogo wake wa Damu Tajiri wa Yanga SC Gharib Said Mohammed tunajua kila Kitu juu ya ahadi yako ya Tsh Milioni 30 kama wakiifunga Simba SC ijumaa kwa Mkapa.

Ufuatao ndiyo Mchanganuo mzima wa hiyo ahadi ya Tsh Milioni 30 kwa Klabu ya Tanzania Prisons kutoka kwa Tajiri Mdogo Saalah Said Mohammed (SSM)

Milioni 10 wamezitoa Yanga SC kwa Tanzania Prisons FC kupitia Ndumilakuwili Saalah ya Kuwaumiza Wachezaji wa Simba SC.

Milioni 10 umezitoa Mwenyewe kwa Tanzania Prisons ili isikubali Kufungwa na Simba SC Ijumaa.

Milioni 10 amezitoa Kaka yako mkubwa Gharib Said Mohammed kwa Tanzania Prisons FC kupitia Kwako kama itafunga Simba SC.

Na ulivyo Mnafiki Tanzania Prisons FC ilivyocheza na Yanga SC yako ulitoa ahadi ya Tsh Milioni 20 wakishida na wala hukutoa ya kama ikitoka Sare /Suluhu ila kwakuwa inacheza na Simba SC usiyoipenda umeweka ahadi ya Tsh Milioni 30 ambapo wakimfunga Simba SC ila Safari hii umeweka /umetoa ahadi ya Tsh Milioni 10 kama wakikomaa na kutoka Sare.

Wape hata Tsh Milioni 100, ila hiyo Ijumaa Klabu yako unayoidhamini ya Tanzania Prisons itafungwa tu na Simba SC kwa Mkapa na wala hutoamini kabisa.
uongo hautakupeleka kokote,sana sana utaaibika tu
 
Boss Saalah Said Mohammed Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean na Mdogo wake wa Damu Tajiri wa Yanga SC Gharib Said Mohammed tunajua kila Kitu juu ya ahadi yako ya Tsh Milioni 30 kama wakiifunga Simba SC ijumaa kwa Mkapa.

Ufuatao ndiyo Mchanganuo mzima wa hiyo ahadi ya Tsh Milioni 30 kwa Klabu ya Tanzania Prisons kutoka kwa Tajiri Mdogo Saalah Said Mohammed (SSM)

Milioni 10 wamezitoa Yanga SC kwa Tanzania Prisons FC kupitia Ndumilakuwili Saalah ya Kuwaumiza Wachezaji wa Simba SC.

Milioni 10 umezitoa Mwenyewe kwa Tanzania Prisons ili isikubali Kufungwa na Simba SC Ijumaa.

Milioni 10 amezitoa Kaka yako mkubwa Gharib Said Mohammed kwa Tanzania Prisons FC kupitia Kwako kama itafunga Simba SC.

Na ulivyo Mnafiki Tanzania Prisons FC ilivyocheza na Yanga SC yako ulitoa ahadi ya Tsh Milioni 20 wakishida na wala hukutoa ya kama ikitoka Sare /Suluhu ila kwakuwa inacheza na Simba SC usiyoipenda umeweka ahadi ya Tsh Milioni 30 ambapo wakimfunga Simba SC ila Safari hii umeweka /umetoa ahadi ya Tsh Milioni 10 kama wakikomaa na kutoka Sare.

Wape hata Tsh Milioni 100, ila hiyo Ijumaa Klabu yako unayoidhamini ya Tanzania Prisons itafungwa tu na Simba SC kwa Mkapa na wala hutoamini kabisa.
Aisee!
 
Huu mchezo wa hawa Silent Ocean ulitengenezwa na GSM ili kubalance story, walizoea kuweka mizigo kwa timu nyingine zikicheza na Simba ili kuzihamasisha Simba ifungwe, wakadhani na Simba ingefanya hiyo michezo kwao, lakini Simba SC hawakuwa na habari nao, sasa ni aibu.

Sasa ndio ameibuka huyo Silent Ocean, ambaye tangu mwanzo nilimtilia shaka nilijua amekuja kutuliza hali ya mambo, kama vile kubalance, lakini kimsingi hao jamaa nao ni GSM tu, wote wanaifanyia kazi Yanga.

Simba acheze game zake uwanjani, huu ujinga wa GSM wawaachie wenyewe.
Kama alivyocheza leo
 
Waambie Natural Charm yangu na Mimi Kiasili kuwa this Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kutawatesa sana tu.

Waambie GENTAMYCINE nawaomba Members wote Wanaonichukia hapa wauombe Uongozi wa JamiiForums watushindanishe katika Shindano lolote lile na nawahakikishia NItashinda na hawatoamini.

Najua Mungu kanibariki na vingi mno.

Cc: Unavoidable Servant
Hatimaye umekula tena umeme!! Yaani hata wiki sijui kama umemaliza!! Kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom