Huu mchezo wa hawa Silent Ocean ulitengenezwa na GSM ili kubalance story, walizoea kuweka mizigo kwa timu nyingine zikicheza na Simba ili kuzihamasisha Simba ifungwe, wakadhani na Simba ingefanya hiyo michezo kwao, lakini Simba SC hawakuwa na habari nao, sasa ni aibu.
Sasa ndio ameibuka huyo Silent Ocean, ambaye tangu mwanzo nilimtilia shaka nilijua amekuja kutuliza hali ya mambo, kama vile kubalance, lakini kimsingi hao jamaa nao ni GSM tu, wote wanaifanyia kazi Yanga.
Simba acheze game zake uwanjani, huu ujinga wa GSM wawaachie wenyewe.