Nanukuu..
""sijawahi kuwa na sina bifu na alikiba""
""kila mtu anahaki ya kumchagua amtakae, uzalendo haununuliwi bali unatoka moyoni kwa mtu husika, kama unampigia davido au yeyote yule ni haki yako lakini kama unaona tuzo inafaa ije bongo nipigie""
""Nadhani mabishano ya mashabiki juu yetu sisi kwa sisi hayawezi kutupeleka popote, imefika wakati wafananishe wanamuziki wetu na davido, wizkid etc. ""
""unapoamini masuala ya ushirikina unamkosea mwenyezi Mungu, sina imani juu ya mambo hayo, ña mimi anachoamini babu tale siwezi sema nimzuie, kila mtu anahaki ya kuamini anachokiamini""
""Nguvu za wanaonichukia na kupiga kura kwa davido, ni bora pia wangetumia nguvu hiyo kuwapa support zaidi wasanii wetu,, mwakani tuwe na wawakilishi zaidi ya wawili""
""Huwa simtozi mtu pesa yeyote kwenye collable, na wala sijawahi tozwa... Nimefanya collable karibu na A list wote wa Afrika, nyimbo nyingi zipo tayari baadhi tu zinasubiri wakati wake kufanya video shoot, hata hivyo haziwezi kuachiwa achiwa tu, sababu tunataka kila mwaka mziki wetu uwepo kwenye chati kubwa za muziki""
baadhi ya alivyoongea president wa wasaaaaaaaaafi.... Mr. Icon