Boss wa Diamond akubali kushiriki kwenye ushirikina

Boss wa Diamond akubali kushiriki kwenye ushirikina

+_ha haa haaa mkuu kwani mambo ya umiliki wa JF yamekujaje, kwani me nimekataza mtu kukomenti?

+me nimeshangaa bure tu kama wasangaaji wengine, kwani kushangaa shi ngapi?

Unashangaa vitu visivopaswa kushangaa.
Watu watachangia popote kama ambavyo nyie huwa mnachangia popote mnapojisikia!.
Ukiona mtu hajachangia ujue hajaona haja ya kufanya ivo.
Tofauti na watu ambao kazi yao kuchangia kila kitu kama wajinga tu.
 
Aiseeee......
Huu uzi mbona member mnakua wakali sana!?

Chekecha imeshachuja hahahah HABARI ya mjini ushirikina wa babu tale kisa tu manager wa dai ...sasa angekuwa manager wa "bushman doppelganger " ungeona defensive mechanism ya ajabu inayotokana na Akili kucheketulia mpaka kuwa mento hahaha




King anasikitisha.

Mondi bin ladeni anatisha.

#nyakatizakuumiawataniwetu .

#ukijamotonakurudishabarida
 
Aaache ushirikina mxiuu mtoto mdogo mchawi roho,yani watu ambao hawajaenda shule wanapenda sana ushirikina na ipo siku mungu atawaumbua mbwa hawa

Mbona unahusisha sana swala la kwenda shule mkuu? Anyway naomba nijue elimu yako kama hutojali.
 
Unashangaa vitu visivopaswa kushangaa.
Watu watachangia popote kama ambavyo nyie huwa mnachangia popote mnapojisikia!.
Ukiona mtu hajachangia ujue hajaona haja ya kufanya ivo.
Tofauti na watu ambao kazi yao kuchangia kila kitu kama wajinga tu.

+kweli kabisa jirani ndo ndo maana na mimi sijampangia mtu kuchangia, ila kushangaa hakuna limitation inategemea na mtu we kama haikushangazi me inanishangaza!


Kwani ukiwa mchawi unapaswa umkimbize nani?
Fisi?
+ yoyote mwenye mbio!
 
+Huyu mchawi ni noma anamkimbiza Davido aisee! sasa hivi wamefikia 800k

Hahaah sasa eti mkuu hivi unaanzaje kumchukia MTU mwenye followers 800k kama wewe so mshirikina au mchawi nini basi? Hahaha huwa nawaza haya SAA nyingine halafu naishia kucheka tu .
 
Mamaaaaaaa weeeeeeeeeeee.
Kweli uchawi hoyeeeeeeeeee......
yaaan pona ya domo ni ukute yeye hajajihusisha kwenye ushirikina maana kisicho rizki hakiliki. Hamna lenye mwanzo lisilo na mwisho.
Oyooooooo watashindana lakini hawatashinda walokole kolezeni maombiii wajitaje wote kwi kwi kwiiiiiiii.
cute b mambo! Ndugu
 
Last edited by a moderator:
Hahaah sasa eti mkuu hivi unaanzaje kumchukia MTU mwenye followers 800k kama wewe so mshirikina au mchawi nini basi? Hahaha huwa nawaza haya SAA nyingine halafu naishia kucheka tu .
+hapo sasa Mkuu, na wenyewe wanaungana kua wachawi ha haa haa
 
Nasikia eti uwa kuna uchawi mzuri na uchawi mbaya.
sasa ye babu tale anashiriki ule uchawi mzuri, shda iko wapi?
 
Poa vipi mkuu? Nipo njiani naenda kuloga aisee huu ni mwaka wangu wa kutoboa kimataifa nitalala ata na baba yangu aisee kumbe ni dili eee hahahaaaa
cute b waambieni man u babu tale ni agent wa kalumanzila hahahahah
 
Last edited by a moderator:
Poa vipi mkuu? Nipo njiani naenda kuloga aisee huu ni mwaka wangu wa kutoboa kimataifa nitalala ata na baba yangu aisee kumbe ni dili eee hahahaaaa

Uwanga uwanga!
Uchawi kuzika kuku na mbuzi!
Manyau nyau...
Ptuuu aibuuu
 
cute b waambieni man u babu tale ni agent wa kalumanzila hahahahah

Nataman van na yeye angekuwa mshirikina kama meneja wa domo. Ili na wachezaji wetu wabebe kombe. Ngoja nikamshauri ushirikina lazma bhana kama mou ni mchawi yule ndo maana the bluuuz wametoboa kimataifa.
 
Last edited by a moderator:
Poa vipi mkuu? Nipo njiani naenda kuloga aisee huu ni mwaka wangu wa kutoboa kimataifa nitalala ata na baba yangu aisee kumbe ni dili eee hahahaaaa

Hahaaaaaa safari njema ma dia we lala hata na babu yako ili mradi utoe ozone ila ukikosea masharti usianze kulia. All the best.
 
Uwanga uwanga!
Uchawi kuzika kuku na mbuzi!
Manyau nyau...
Ptuuu aibuuu

Aibu tuu? Yaan iyo ni inaitwa sir God at work. Watajitaja sana mwaka huu.
Ila dia uchawi unasaidia etiiii....ukipata fundi na nauli ya kwenda naija lazma utoboe kimataifa ila mwisho wake ni kufa tuu....
Nasikia mtu fidodido kaweka kafara ya nguvu zake za kiume heheheeeeeeee wapiiii wale waganga wa ufipa na mie nikapate kipooza roho
 
Haaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaa kumbeeee😕😕😱😱😱:sly:
 
Hahaaaaaa safari njema ma dia we lala hata na babu yako ili mradi utoe ozone ila ukikosea masharti usianze kulia. All the best.

Yaani nitaweka ata kizazi changu bondi nisizae ili nitoboe kimataifaaa nitalala ata makaburini. Hamna shida nitalelea watoto wa wanaume nitakao kuwa nao nitawaambia waniite mama maana hamna namna uwezo wa kuzaa nitakuwa nimeshaupoteza
 
Back
Top Bottom