Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbna wao boss na ndugu zake wanawafanya hivyo watoto wa kimatumbi, tena mapapai.Kuna ndugu yao mmoja alimwelewa msela mmoja jamaa akamkoleza kiasi kwamba binti akawa haambiliki wala kushikika pale nduguze wanapomkataza kutaka kuolewa na black. Walimteka masela na wachoenda kumfanya, hata shetani asingeweza kumfanyia kitendo kile
ShemejiiiiiTuseme Yupo na mkemwee?
Tunayatolea kwaoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Astaghfirullahi al aliyyul adhwiim!
Haya maneno mnayatolea wapi?
Acha wivu wewe unamuonea wivu mwanamke?GSM na SILENT OCEAN qualification kuu ya kupata kazi na nafasi nzuri ni rangi yako [emoji4]
Nenda uone majority ya wenye nafasi nzuri ni watu wa aina gani? Ukiwa mswahili utaishi kwa ngama sana! Anyways! Heri ya kuzaliwa kwa mke wa tajiri wa kwanza mpenda mitandao na show-offs... anajiita "MRS GSM" [emoji4][emoji4][emoji4]
Na inawezekana hii sherehe kubwa na makamera na wasanii ni forcefully ya huyo mwanamke. Mshawahi kuona mke wa Rostam, Mangu, Bakhressa, Mufuruki, the late Mzee Mengi, Shubash Patel au wale matajiri wa Shinyanga, Zanzibar na Arusha wana hizi mambo?!
Wanawake bana[emoji1487]
Hahaha!Tunayatolea kwaoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kigambonino hiyo mzee
Hao ndugu zako ndo wanayajua yote ya Gharib? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha!
Ni maneno ya watu tu!
Ghalib ana shirikiana baadhi ya kazi na ndugu zangu wala hayupo hivyo!
OkHao ndugu zako ndo wanayajua yote ya Gharib? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachekeshaa weyeee khaaa, basi sisi tumesikia kwa wahusika wenyewee.
Siyo Povu, ndio ukweli wenyewe. Watu wanamjua mtu akishafanikiwa na akiwa kwenye Peak ila hawajui mtu kasota na kapambana kwa muda gani. Wengi wamemjua GSM kupitia Yanga na wanadhani huo utajiri ameanza juzi kuwa nao. Na kingine tukubali au tukatae hawa wadosi kwenye business na fursa wanatuzidi sana akili, sisi kazi yetu kulalamika ilhali wote tunaishi nao hapahapa Bongo. Mwenye tatizo ni nani?mbona povu linakutoka utopolo,
bora uhamie simba akili itakukaa sawa
Sina uhakika kama ni rubaniYule aliyeolewa na rubani au
Kinachoweza kukutoka kwa haraka ni kamasi tu, sio umasikini.Ngezamia kutoka hapa kyela lazima ngetafuna mdogo ake mrs GSM au shangazi ake afu umasikini ungenitoka
Ndo yy huyo mkuu ulikuwa hujui?Hata mm nahisiki huyu ni bibie mwenyewe😂😂😂😂😂...moja shikamoo SASHA FaizaFoxy