Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ukitaka uwe billionea unatakiwa uwe na roho mbayaWalishindwa hata kualika majirani zao blacks? Kweli wana ubaguzi na roho mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka uwe billionea unatakiwa uwe na roho mbayaWalishindwa hata kualika majirani zao blacks? Kweli wana ubaguzi na roho mbaya sana
Kuna ndugu yao mmoja alimwelewa msela mmoja jamaa akamkoleza kiasi kwamba binti akawa haambiliki wala kushikika pale nduguze wanapomkataza kutaka kuolewa na black. Walimteka masela na wachoenda kumfanya, hata shetani asingeweza kumfanyia kitendo kileYani waoane wenyewe, wapendane na washirikiane afu wewe uchukie?
Nyie mmekatazwa kuoana wenyewe kwa wenyewe na kushirikiana? Umewahi kusikia wao wakilalamika hamjawaalika au mmewagomea kuoa ndugu zenu? Charity begins at home kitu ambacho wamatumbi hamkijui hadi leo. Nyie endeleeni kuamini ndugu zenu ndo wabaya wenu muone kama mtafika popote.
Hawana majirani? Hata sheikh wa msikitini kwao siyo black?Sherehe ni ya familia, Sasa kama familia na ukoo ni wa kiarabu unatarajia weusi watokee wapi?
Naona na Ommy dimple anatumbuiza,si walisema eti[emoji848][emoji848]au basi.......mke wa boss Mzuri
Unaongeaga pwent sana ila tunagombana kubisha hakuna uchawi.Yani waoane wenyewe, wapendane na washirikiane afu wewe uchukie?
Nyie mmekatazwa kuoana wenyewe kwa wenyewe na kushirikiana? Umewahi kusikia wao wakilalamika hamjawaalika au mmewagomea kuoa ndugu zenu? Charity begins at home kitu ambacho wamatumbi hamkijui hadi leo. Nyie endeleeni kuamini ndugu zenu ndo wabaya wenu muone kama mtafika popote.
Hapo ni wanafamilia pekee hao wengine ni wasanii kama wangekua wabaguzi si wangeita hata wasanii wa "kiarabu"!!Hawana majirani? Hata sheikh wa msikitini kwao siyo black?
Humfuatilii Dangote wewe, kuna harusi ya binti yake mmoja ilikuwa kufuru huko kwao NigeriaKina dangote bila kuwasahau, hawana showoff wazee wa kazi 24/7.....
Walishindwa hata kualika majirani zao blacks? Kweli wana ubaguzi na roho mbaya sana
Yalaaaa,ukisikia PaaahhhTuseme Yupo na mkemwee?
hahaa faiza foxy ile sura watoto wa kiarabu wangekosa amanmbona waarabu watupu, tena koko? hana ndugu waswahili? kina faizafoxy
Unaongeaga pwent sana ila tunagombana kubisha hakuna uchawi.
El Señor de Los CielosUkiwa mpigaji unahakikisha una stay low key Kama amado carrilo Fuentes
Alikuwa ana sherehesha birthday ya mke mwenzie.🤣🤣Naona na Ommy dimple anatumbuiza,si walisema eti🤔🤔au basi.......mke wa boss Mzuri
HahahaMachalii wa R wnakuambia hapo imetumika laki tatu 3