The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Salha ni watabora .Hii sherehe hakualikwa mbongo hata mmoja!!! Weusi ni waimbaji tu (Jux na Dimpoz) 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salha ni watabora .Hii sherehe hakualikwa mbongo hata mmoja!!! Weusi ni waimbaji tu (Jux na Dimpoz) 😁
Akikujib nitagwewe kwenye shuhuli yako kuna muarabu au muhindi anaehudhuria?
Ukiwa mpigaji unahakikisha una stay low key Kama amado carrilo Fuentes
Mmh[emoji848][emoji848]Yani waoane wenyewe, wapendane na washirikiane afu wewe uchukie?
Nyie mmekatazwa kuoana wenyewe kwa wenyewe na kushirikiana? Umewahi kusikia wao wakilalamika hamjawaalika au mmewagomea kuoa ndugu zenu? Charity begins at home kitu ambacho wamatumbi hamkijui hadi leo. Nyie endeleeni kuamini ndugu zenu ndo wabaya wenu muone kama mtafika popote.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]izi video ukiangalia mtu unaanza kuwaza umemkosea nini mungu.
Laiti mama angekuwa na akili hata robo ya Bibi faiza [emoji1663] tungesonga mbeleMama samia shkamoo [emoji2960]
Marehemu kitambo huyo jamaa, na mwanae nae aliishia mikononi mwa mamwelaaNamkubali Mwamba, sijui ndo alikufa au alifanikiwa kubadili sura na kutembea mbele
Au walisahau kuwa uislam ni mfumo wa maisha ikiwemo uvaaji wa kanzu,hijab,msuli kama bi faiza anavyodai?Wakasahau vazi pendwa la kanzu
Case Closed [emoji1787]wewe kwenye shuhuli yako kuna muarabu au muhindi anaehudhuria?
30kkwa haraka haraka hapo imetumika kama laki ngapi vile??
Mwambie bandari inauzwaHongera sana Ghalib na Salha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] Mbaka unawaza , au kweli hakuna mungu..
kwa haraka haraka hapo imetumika kama laki ngapi vile??
Hii sherehe hakualikwa mbongo hata mmoja!!! Weusi ni waimbaji tu (Jux na Dimpoz) [emoji16]
Yani waoane wenyewe, wapendane na washirikiane afu wewe uchukie?
Nyie mmekatazwa kuoana wenyewe kwa wenyewe na kushirikiana? Umewahi kusikia wao wakilalamika hamjawaalika au mmewagomea kuoa ndugu zenu? Charity begins at home kitu ambacho wamatumbi hamkijui hadi leo. Nyie endeleeni kuamini ndugu zenu ndo wabaya wenu muone kama mtafika popote.
Walishindwa hata kualika majirani zao blacks? Kweli wana ubaguzi na roho mbaya sanawana ubaguzi sana
Laki ml 20 hapo mNadhani ni nyie keki tu mnasema mmechunwakwa haraka haraka hapo imetumika kama laki ngapi vile??