Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Yamempuna hana kitu 😂 kutwa kutibu UTI.matako makubwaaa usafi zeroooCheki 😁 hii nayo , wewe matako ya wanawake zako yamekufikisha wapi😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamempuna hana kitu 😂 kutwa kutibu UTI.matako makubwaaa usafi zeroooCheki 😁 hii nayo , wewe matako ya wanawake zako yamekufikisha wapi😁
Kadi za clinic mtozwe hata 10000Wewe mbona huendi kuchota huko serikalini?
Heeh..Hongera ya nini tena.....!!?Hongera sana Ghalib na Salha.
unajiita tajiri huku wafanyakazi wako wakiwa katika lindi la ufukara na manyanyaso kibaoAcha matajiri waendelee kupendana wenyewe daima😁 masikini tunachuki za kichawi sana.. ndo kama izi.
Bro kuna tatizo upande wangu picha kutofunguka ila huwa nafuatilia sana post zako. Tatizo ni nini?sikukuu ya kuzaliwa MKE wa Tajiri wa makampuni ya GSM na Mdahamini Mkuu wa Klabu ya Yanga
Birthday party ilimhusu mke wake pamoja na wanafamilia / ndugu wa karibu.
Maua ya kutosha, itakuwa yaliletwa na kontena mbili
zawadi zenye brand kubwa na orignal, mambo ya christian Dior, dolce & Gabbana, Gucci, hakuna feki feki.
Upande wa burudani zilipigwa fataki, wasanii Jux na Ommy walitoa burudani.
View attachment 2728125
View attachment 2728117
View attachment 2728122
View attachment 2728123
Ipo Kimbiji/Kigamboni....Duuuh hiyo mansion mzee baba ipo DSM kweli?
Duuh tutafute hela aseee 🙁🙁
ukiwa shabiki wa yanga automatically unakua chawa wa gsmsikukuu ya kuzaliwa MKE wa Tajiri wa makampuni ya GSM na Mdahamini Mkuu wa Klabu ya Yanga
Birthday iilihudhuriwa na wanafamilia / ndugu wa karibu.
Maua ni mengi sana yenye kuvutia, itakuwa yaliletwa na kontena mbili
zawadi zenye brand kubwa na orignal, mambo ya christian Dior, dolce & Gabbana, Gucci.
Upande wa burudani zilipigwa fataki, wasanii Jux na Ommy walitoa burudani.
View attachment 2728125
View attachment 2728117
View attachment 2728122
View attachment 2728123
Kina dangote bila kuwasahau, hawana showoff wazee wa kazi 24/7.....TAJIRI bakharesaa tu....hawa wengiene Asalama alaeko wakina mo*
wewe kwenye shuhuli yako kuna muarabu au muhindi anaehudhuria?
Mbona hana Chura? Unakuwa Millionea halafu unaoa Tasi hana Chura?
Kama Pesa zimekubagua kwanini na wao wasikubaguewana ubaguzi sana
Wewe kwny sherehe yako kuna weupe wangapi uli invite?Hii sherehe hakualikwa mbongo hata mmoja!!! Weusi ni waimbaji tu (Jux na Dimpoz) [emoji16]
Watanzania wote hatuwezi kulingana hata ukifanya nini. Matabaka yapo tangu enzi na enzi hata huko Ulaya na America. Be happy.Duuuh hiyo mansion mzee baba ipo DSM kweli?
Duuh tutafute hela aseee 🙁🙁