jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.
Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.
So msianze kujilinganisha nae.
UmemalizaWatoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.
Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.
So msianze kujilinganisha nae.
Mzee baba mafanikio ni kama nguo ya ndani, huwez kuta mtu kaianika nje kila mtu aioneWatoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.
Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.
So msianze kujilinganisha nae.
Kweli kabisa mzee baba,ukweli wanaujua wao.Mzee baba mafanikio ni kama nguo ya ndani, huwez kuta mtu kaianika nje kila mtu aione
..mafanikio ni Siri nzito ya mtu ...
Hahah.Umemaliza
Naomba uzi ufungwe tafadhali