Boss wa Lake FM Aanzisha kipindi katika Clouds TV.

Boss wa Lake FM Aanzisha kipindi katika Clouds TV.

Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.

Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.

So msianze kujilinganisha nae.

Asiyekuelewa kwa hili amelaaniwa
 
Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.

Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.

So msianze kujilinganisha nae.
Umemaliza

Naomba uzi ufungwe tafadhali
 
Sio Mrs Noni ni mtoto wa Noni kuna kipindi alikuwa mkurugenzi wa TIB ila kuna kipindi pia alikuwa keko segerea kwa ishu ya ufisadi.
 
Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.

Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.

So msianze kujilinganisha nae.
Mzee baba mafanikio ni kama nguo ya ndani, huwez kuta mtu kaianika nje kila mtu aione
..mafanikio ni Siri nzito ya mtu ...
 
Mzee baba mafanikio ni kama nguo ya ndani, huwez kuta mtu kaianika nje kila mtu aione
..mafanikio ni Siri nzito ya mtu ...
Kweli kabisa mzee baba,ukweli wanaujua wao.
 
Back
Top Bottom