Anajicho kali mama
Alisema mwenyewe, naona sasa ameona bora akaze mazoea yamezidi.Si mlisema limelegea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KwakweliAlisema mwenyewe, naona sasa ameona bora akaze mazoea yamezidi.
Si mlisema limelegea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππIlo apana kwakweli
tatizo lao hawana msimamo na ni wanafiki wakubwa. Kabla ya magu walikuwa ngome ya upinzani walipoona ni msukuma mwenzao wakaikumbatia ccm, sasa ccm imeanza kuwatia chongoKumbukeni wasukuma ni kama maji msipo wanywa mtawaoga..mtaji wa kisiasa ni kanda ya ziwa.
#MaendeleoHayanaChama