Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Kalemani sijui bwana. My personal experience with him, had concluded he was incompetent.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Mkuu napita tu hapa naona nyama za kujazia hapa zipo nyingi, bora nipitu tu
You mean what went around has come aroundMkuu BAK kwani huyo mwenye suti ni kalemani? Kama niyeye ajiandae kutuambia ccctv kamera za lisu alizipeleka wapi? Maana huyu kwenye sakata la kupigwa risasi anatajwa Kama ndie alitoa zile kamera Sasa ni muda wa kujibu.
AbsolutelyYou mean what went around has come around
Makamu wa Rais Tanzania hana kaziReshuffle iendelee,wakati wote ndani ya vyama vya siasa kumekuwapo na hii kitu ya u timu fulani sasa timu fulani ikiotea nafasi za maamuzi wale wa timu ile hutamba sana,sasa shilingi ikigeuka tu lazima timu ile hali ibadirike.
Nafasi ya U-makamo wa Rais kimsingi unakuwepo tu Serikalini ila unakosa meno na hapo ndipo baadhi hukupuuza na kukuona si kitu sasa meza ikipinduka ndiyo waliokuvimbia hubaki kwenye baragumu.
Ndio maana mimi binafsi napenda kuwa na kazi binafsi, kilicho juu yangu ni sheria tuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili JICHO halafu uwe mtu wa maboko unaweza Jamba mbele ya rais na akasikia sauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si mlisema limelegea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mheshimiwa, Mama, Rais, Amiri jeshi mkuu