Boss wangu ananitaka kimapenzi la sivyo anifukuze kazi

Boss wangu ananitaka kimapenzi la sivyo anifukuze kazi

Mkuu uko tayari kuachana na mawazo ya kumtafuta BUTOGWA SHIJA maana uliahidi kudili nae. Juzi ulikuja na Uzi wa kuwananga wanawake wavaa mawigi au boss wako ndo wigi lilikufanya utupie uzi mkuu Beira Baby boy[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu BUTOGWA SHIJA ndo mwanamke wa ndoto zangu,

Huyu bos huwa anasuka lakin sijawah kumuona kavaa wigi
 
kuwa makini na mashuga mamy! atakuwa kaachika kwa kiserengeti boy chake sasa anakutafuta wewe. Usipokuwa makni atakuharibia maisha! Wanapenda kutumia pesa zao kuwapata vijana wadogo!
 
Unataka ushauri wa nini? Maombi yako yamejibiwa tayari! juzi si ulikuwa unalia kuwa hupati demu? Sasa ndio huyo umempata endelea kukata viuno kama dancer wa chipolopolo mkuu ule kiulaini!
 
Anataka nihamie kwake mkuu lasivyo anifute kaz sasa hapo ndo kwenye ngoma nzito
sasa kinachokuleta hapa nini kwani hujafikia umri wa kumiliki Mke.... Acha kuwa Muoga piga mzigo na kula supu ya Pweza sana usituabishe
 
Ile ofis huwa ni yake peke yake harusiwi kuingia mwingine hovyo hovyo
Hahahahaha mwishowe utakamatika mkuu !!

Nanukuu "ile ofisi huwa ni yake peke yake harusiwi kuingia mwingine hovyo hovyo" none sense kabisa

Inahusiaka na nini hiyo ofisi hadi Wateja wanapewa masharti wasiingiie hovyo hovyo???

Hii story ina nipa kuwa na utata na maelekezo au pengine ume copy na kupest !!

Haya bhana !
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Ninafanya kazi za usafi wa kufagia na kudeki ofisi ya boss wangu, nikimaliza usafi huwa namsaidia kupanga mafaili yake vizuri.

Pia mda wa mchana kidogo huwa naenda kumuoshea gari zake na kuzifuta futa vumbi la hapa na pale.

Sasa huyu boss wangu juzi nilikuwa napanga mafile ofisini kwake ghafla akaingia ofisini akaufunga mlango kwa komeo ndani kitu ambacho si kawaida, nikamuuliza mbona unafunga mlango?

Lakini alinitizama kwa jicho la huruma sana akanisogelea akaanza kunishika shika kiuno na maeneo ya kifuani, mimi namtizama tu mara akaanza kufungua vishikizo vya shati hata hasemi kuwa anataka nini, nikamuuliza mama unasemaje? Akaendelea tu kufungua vishikizo vya shati.

Akapiga magoti akaanza kufungua zipu ya suruali kwa nguvu na haraka haraka akamutoa BABA UBAYA akaanza kumulamba lamba kwa ulimi na kunyonya mazima.

Mimi nikajua tu kuwa huyu mama ana nyege ngoja tu nimpe anachotaka, nikaanza kumpa ushirikiano nikapasa maziwa yake nikaanza la denda sikutaka kumuchelewesha nikamwinamisha nikampiga mamboz ya kufa mtu.

Jana tena kaniita kwenye gari akasema anataka denda piga makisi ya kutosha.

Sasa wakati huo tupo kwenye gari akaniambia anataka tuoane yaani nimuoe na nihamie kwake mazima kama nikikataa niache kazi na nisimjue kabisa.

Jana alinambia mimi sifai tena kufanya kazi za usafi kwake bali nafaa kuwa mume wake, jana alideki ofisi mwenyewe mimi nikiwa nimekaa tu, leo kaleta mfanyakazi wa kike kwa ajili ya kudeki ofisi na usafi wote.

Leo tena kanambia kama nisipokubali basi atanifukuza na ikibidi atanitupa lupango. Anadai mapenzi yangu ni ya nguvu sana eti namridhisha mno hivyo hataki kabisa niwe mbali naye.

Sasa wakuu nikubali au niache tu kazi maana ananizidi miaka kama 19.

Naombeni ushauri wenu.


LONDON BABY
Mbona dogo janja kaweza ww unashindwa nn?
 
"Mapenz yangu ni ya nguvu sana"
Unamanisha kwa wadada wanaohitaji mapenz ya nguvu wakuone? weka hitaji lako vizuri
 
Akutupe lupango kwa kosa gani mkuu na huo ubishi wa wewe kukataa hadi aseme hayo yote mbona hujatwambia kama ulimbishia ???

By the way! Pima kama wewe kuolewa nae ni sawa (maana anakuoa wewe sio wewe unamuoa) au uache kazi ukatafute mwingine

Kama anakuzidi hiyo miaka yote sio shida tatizo ni kuwa unampenda?? Au na wewe umeingiwa tamaa tu kwa kuwa ana pesa?

Tafadhari,, wanawake waliowengi wa hivo kumbuka wewe sio wa kwanza ndo mchezo yao akikuchoka utatimuliwa kama dog!

Fanya maamuzi kama kijana unaejiamini ,,,hayo ndiyo yangu tuu usizidishe wala usipunguze !!!!
Subiria kibuti pumbavu, hao ndio style ya mijimama atakukula kama muwa akikuchoka unakula ndula tu!
 
Back
Top Bottom