Boss wangu ananitaka kimapenzi la sivyo anifukuze kazi

Boss wangu ananitaka kimapenzi la sivyo anifukuze kazi

Hahahahaha mwishowe utakamatika mkuu !!

Nanukuu "ile ofisi huwa ni yake peke yake harusiwi kuingia mwingine hovyo hovyo" none sense kabisa

Inahusiaka na nini hiyo ofisi hadi Wateja wanapewa masharti wasiingiie hovyo hovyo???

Hii story ina nipa kuwa na utata na maelekezo au pengine ume copy na kupest !!

Haya bhana !
Usiwe na utata mkuu

Tuko pamoja sana
 
19 si bibi ako kabsa mkuu uyo,? Huwa yakianzaga yanakuwa ya moto moto kweli ila ukihamia yataganda ndo utaanza kulia huku ukienda kupima tayar kale kaugonjwa kameingia hapo utatamani siku zirud nyuma ili urekebishe maamuzi.
 
Back
Top Bottom