Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unahisi watakuwa wametumia kinga iyo juzi aliyomfanyia ofisiniMpe tu kwa cku mo1 cha muhim mtumie kinga
Hahaha hatajua kama ni wewe umemtumia. Kwani huyo fisi atakuwa na plate number yenye jina lako?!. Ka vipi mtumie mamba kabisa.Sasa mkuu si unajua kabisa ni bos wangu sasa nikituma fis huon kama nitafukuzwa kaz
Mtu kila siku anazungumzia fisi tu atakuwa na elimu ya kazi gani unafikiri?Wewe ni shamba boy???
Hapana. Mkuu mimi nataka nimtose si unajua magongwa mkuuKwenye vitu kama hivi huwa hawaombagi ushauri tukushauri mini sasa,wakati mmesha gegedana tayari?hata tukikushauri uachane naye hutaweza kumuacha ,kumbuka umesha ionja asari tayari,then wewe huna pesa ,yeye anapesa mpaka kufikia hapo kitakachojili kimesha fahamika tayari.
Sasa mkuu nikimtumia mamba si itamutafuna na kama ikimutafuna akafa mimi nitawapi kaz? nan atakuwa ananipa hela ya kula mkuuHahaha hatajua kama ni wewe umemtumia. Kwani huyo fisi atakuwa na plate number yenye jina lako?!. Ka vipi mtumie mamba kabisa.