YANI UPUPU ALIOONGEA HAU EXIST POPOTE NA HAKUNA AFISA WA BENKI KUU ANAEWEZA KUPIGA PESA KWA MTINDO HUU PALE.Umeona ukisema kwa kutoa coment haitoshi ukaona uje uianzishie uzi kabisa.
Upumbavu zaidi ni hapo umeandika tu maneno ya kufikirika bila kuweka ushahidi.
Kwa taarifa yako tu huyo kibaraka wako wa Amsterdam haoati zaidi ya 20%
UJINGA MTUPU!