mazagazagatza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 208
- 224
Hongera benki kuu na serikali kuja na mkakati huu.Benki kuu ya Tanzania imetoa muongozo wa benki za biashara kupunguza riba kwa sekta binafsi.
Benki kuu imetenga fungu la Trilioni moja ambayo itatumika kuzikopesha benki na taasisi za fedha kwa riba ya 3% na kutaka benki zitoe mikopo kwa riba isiyozidi 10%.
Binafsi napongeza hizi hatua za serikali katika kuongeza ukwasi na mzunguko wa pesa mitaani. Riba kwenye mabenki ya biashara iko juu sana.
View attachment 1870011View attachment 1870012View attachment 1870013View attachment 1870014
Lakini pia riba ikiwa chini sana sekta ya benki inaweza kufa au kudorora.Nadhani sheria ya Tanzania haijaipa mamlaka benki kuu kuzilazimisha benki za biashara kushusha riba mpaka % flani,but ina power kubwa ya ku-influence riba kupitia policy zake kwenye soko Example.Let's say NMB,TPB, & TIB zikakubaliana na hzo policy za Benki kuu kwa kukubali kukopa kwenye huo mfuko wake kwa 3% ili ziweze kukopesha kwa 10% or less-automatically zitavutia wateja wengi kutoka mabenki mengine na hivyo ili mabenki mengine yaweze kushindana yatalazimika kushusha riba ili kukabiliana na hali ya soko.
Sidhan sana,Moja ya vitu vikubwa vilivyokuwa vinachangia riba za mabenki ya biashara kuwa kubwa ni pamoja na gharama za riba za mikopo wanayolipia kutoka benki kuu kuwa kubwa mno na kuna wakati walikuwa wanakopeshwa kwa rate ya zaid ya 10%Lakini pia riba ikiwa chini sana sekta ya benki inaweza kufa au kudorora.
Ndiyo wangefanya hivyo, yaani wangeweka kipengele kuwa ili Benki iwe na Sifa ya kupewa Mkopo wa 3% kutoka Benki Kuu Sharti hiyo Benki itoze Riba ya 10% kwa Wateja wake.Nadhani sheria ya Tanzania haijaipa mamlaka benki kuu kuzilazimisha benki za biashara kushusha riba mpaka % flani,but ina power kubwa ya ku-influence riba kupitia policy zake kwenye soko Example.Let's say NMB,TPB, & TIB zikakubaliana na hzo policy za Benki kuu kwa kukubali kukopa kwenye huo mfuko wake kwa 3% ili ziweze kukopesha kwa 10% or less-automatically zitavutia wateja wengi kutoka mabenki mengine na hivyo ili mabenki mengine yaweze kushindana yatalazimika kushusha riba ili kukabiliana na hali ya soko.
Nimeona wameweka hivyo kwenye kipengele cha nne ( IV) cha hiyo barua iliyoambatanishwa hapo juu.Ndiyo wangefanya hivyo, yaani wangeweka kipengele kuwa ili Benki iwe na Sifa ya kupewa Mkopo wa 3% kutoka Benki Kuu Sharti hiyo Benki itoze Riba ya 10% kwa Wateja wake.
Kusema kweli hizi Riba za haya Mabenki zimekuwa kero sana kwa wateja, yaani mkopo wa 13,000,000 unarudisha 26,000,000. Ni nyingi Sana aisee
Sharti la ujumla nadhan limezungumzwa kwenye kipengele namba nne kama sijakosea (IV).Nafuu hapo ni kwa mawakala tuu lakini hilo sharti (i) halitekelezeki,lilitakiwa kuwa sharti la jumla badala ya kulazimisha mabenki kukopesha kwenye sekta ya kilimo .
Sekta ya kilimo ni risk Sana kwa mantiki hiyo benki Zita kacha hilo sharti Ili waendelee na utaratibu wao wa siku zote,kuna benki ya kilimo hiyo ndio BOT wangeilenga specifically
Benki gani limetekelezwaSafi Sana madam President agizo lako limetekelezwa
Waisisitize, ikiwezekana waweke na faini kabisa. Hizi benki hazina huruma kabisaNimeona wameweka hivyo kwenye kipengele cha nne ( IV) cha hiyo barua iliyoambatanishwa hapo juu.
Hii imekaa vizuri!!!Benki kuu ya Tanzania imetoa muongozo wa benki za biashara kupunguza riba kwa sekta binafsi.
Benki kuu imetenga fungu la Trilioni moja ambayo itatumika kuzikopesha benki na taasisi za fedha kwa riba ya 3% na kutaka benki zitoe mikopo kwa riba isiyozidi 10%.
Binafsi napongeza hizi hatua za serikali katika kuongeza ukwasi na mzunguko wa pesa mitaani. Riba kwenye mabenki ya biashara iko juu sana.
View attachment 1870011View attachment 1870012View attachment 1870013View attachment 1870014
Limeanza kwa BOT kutoa muongozo wa kisera kama msimamizi wa sekta ya mabenki,acha kukurupuka subiri utaona tofauti ya riba baada ya mudaBenki gani limetekelezwa
Nakuelewa sana kaka-Ni jambazi pekee anayeweza kuona hzi riba ni sawa.Waisisitize, ikiwezekana waweke na faini kabisa. Hizi benki hazina huruma kabisa
Hii imekaa ki optional zaidi but nilitegemea BoT iruhusu mabenki kutafuta mitaji kokote kwenye masoko ya mitaji ndani na nje ya nchi badala ya kutegemea ndani tuu na kwao Ili kuongeza ukwasi zaidi,wao BoT wawe approval Ili kudhibiti kiwango cha pesa nkSharti la ujumla nadhan limezungumzwa kwenye kipengele namba nne kama sijakosea (IV).
Benki kuu ni regulator na ndiye anayeset riba ya base point. Nadhani enki zinacharge kufuatana na riba inayotolewa na benki kuu. Kama riba inayowakopesha ni ndogo lazima benki zitashusha riba. Ila benki nyingi hawana mitaji ya kutosha wakati demand ya mikopo ni kubwa sana, ndiyo maana riba ni kubwa.Nadhani sheria ya Tanzania haijaipa mamlaka benki kuu kuzilazimisha benki za biashara kushusha riba mpaka % flani,but ina power kubwa ya ku-influence riba kupitia policy zake kwenye soko Example.Let's say NMB,TPB, & TIB zikakubaliana na hzo policy za Benki kuu kwa kukubali kukopa kwenye huo mfuko wake kwa 3% ili ziweze kukopesha kwa 10% or less-automatically zitavutia wateja wengi kutoka mabenki mengine na hivyo ili mabenki mengine yaweze kushindana yatalazimika kushusha riba ili kukabiliana na hali ya soko.
Nakuhakikishia lazima riba zitashuka-Ukiangalia hzo sera kiujumla kwa mapana utagundua wamekwisha ingilia directly or indirectly,Example-Makampuni ya simu (VODACOM,AIRTEL,TIGO etc,) huwa yana ukwasi mkubwa sana wa kifedha ambazo huzitumia kwenye biashara kwa kuzikopesha benki za biashara kwa riba shindani-sasa hapo kwenye sera wamepewa limit ya riba ambayo wanapaswa ku-charge wanapokopesha taasis nyingine za kifedha hvyo itasaidia kushusha riba kwenye soko.Waisisitize, ikiwezekana waweke na faini kabisa. Hizi benki hazina huruma kabisa